NACTE hii siyo haki

NACTE hii siyo haki

thomaskitomari

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
472
Reaction score
204
Habari
Mpaka sasa nacte kutokutoa selection wala kutokuwepo kwa taarifa yeyote elekezi ni kama kuonea wanafunzi kwa sababu kuna maandalizi yanayotakiwa yafanyike na wanaotarajia kujiunga na vyuo ukizingatia vyuo vingine viko mbioni kufunguliwa
 
Habari
Mpaka sasa nacte kutokutoa selection wala kutokuwepo kwa taarifa yeyote elekezi ni kama kuonea wanafunzi kwa sababu kuna maandalizi yanayotakiwa yafanyike na wanaotarajia kujiunga na vyuo ukizingatia vyuo vingine viko mbioni kufunguliwa
Nacte wazee wa kiki watakuja na kiki za misimu kwamba TAARIFA KWA UMMA SABABU ZILIZO CHINI YA UWEZO WETU NDIO MAANA TUMESHINDWA KUTOA SELECTION utafikiri waliombwa kutoa taarifa
 
Lkn jamani mbona mnaongea habari ambazo siwaelewi. Mbona leo nomwona selection ya awamu ya tatu imetoka. Ipo unayoizumgumzia wewe. Nacte wako makini na wanachofanya. Sijaona hata mmoja anayekuja na kusema mazuri yao na wakati mpaka sasa more than 80000 wameshapata vyuo.
 
Lkn jamani mbona mnaongea habari ambazo siwaelewi. Mbona leo nomwona selection ya awamu ya tatu imetoka. Ipo unayoizumgumzia wewe. Nacte wako makini na wanachofanya. Sijaona hata mmoja anayekuja na kusema mazuri yao na wakati mpaka sasa more than 80000 wameshapata vyuo.
Kuna mazuri ila mabaya yamezidi na tunaolalamika tuna haki kwasababu mpaka sasa hata first selection bado ,dipl kwenda degr

Sent from mTalk
 
Hii ni kukosa ufahamu tu. Hapo hawahusiki haupo makini kufuatilia matukio. La degree liliamishiwa tcu na hakuna tangazo nacte waliwahi kutoa baada ya hapo. So nasema tena ni ukosefu wa kuwa makini na habari mbalimbali ingawa unataka kuwa msomi
 
Unajua wengine wanachukulia utan ila diploma holder wametelekezwa hakuna tamko lolote juu yao
 
Hii ni kukosa ufahamu tu. Hapo hawahusiki haupo makini kufuatilia matukio. La degree liliamishiwa tcu na hakuna tangazo nacte waliwahi kutoa baada ya hapo. So nasema tena ni ukosefu wa kuwa makini na habari mbalimbali ingawa unataka kuwa msomi
Ndugu sisi ndio tulio apply so tuache tudai panapofaa, sisi sio mapuanguani kwa taarifa tu uki apply ata TCU kwa dip hold unapelekwa Nacte na mpaka sasa profile zetu tunangalia kupitia Nacte na maelezo yakulipia ile 50 ilikua tofaut na 6,Tafadhari usibishe usilolijua.

Sent from mTalk
 
hata Mimi nimeangalia kwenye profile yangu hakna Labda ngoja tuendelee kusubiri
 
Polen sana ndg zang diploma holders, kiukwel S form 6 tnapendlewa Sana kuliko nyiny wakat nyiny elimu n ya vitendo zaid ila S tnakalil, huwez mfanansha clinical officer na mt wa pcb, Co ypo juu, ila nashangaa kwann hamthaminiw, polen sana
 
Back
Top Bottom