KABAKA28
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 211
- 229
Habari wana Jamvi.
Naomba msaada, je mwaka huu mwalimu wa shule ya msingi wenye grade A haruhusiwi kusoma Diploma? Maana nina ndugu yangu anahitaji kujiendeleza ila vyuo vingi havitoi hii course siku hizi. Nimewapigja NACTE wamenijibu majibu mepesi "shit".
Mwenye uelewa tafadhari anijuze.
Asante
Naomba msaada, je mwaka huu mwalimu wa shule ya msingi wenye grade A haruhusiwi kusoma Diploma? Maana nina ndugu yangu anahitaji kujiendeleza ila vyuo vingi havitoi hii course siku hizi. Nimewapigja NACTE wamenijibu majibu mepesi "shit".
Mwenye uelewa tafadhari anijuze.
Asante