mm tatizo langu lipo hivii ,,ktk kufanya selection nilichagua bumbuli clinical officer kwa kujua kuwa ni gvment coz nacte hk chuo kmeandikwa ni govment ilhali hk chuo ni faith based organization (fbo) selection zilivyotoka nikawa selected ktk hk chuo nikawauliza nacte kwa nn chuo cha kkkt wakiandike ni goverment wakasema watanifutia ile selection ya bumbuli ili nichague upya na kweli wakanifutia na nkachagua vyuo vngne nawait selection mpk sasa bdo sijazipata