franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
Unakuta ni jitu zima unaliheshimu kazi kufoward mimeseji ya kutumiwa na watoto wadogo. We mama mtu mzima si ukae na wajukuu zako. Mkottongoz.wa mnalalamika vijana hatuna nidhamu
Well saidUkitaka usikereke na Whatsapp achana na masuala ya magroup halafu futa namba zote ulizojiunga nazo Whatsapp, tafuta namba maalumu kwa ajili ya Business zako Whatsapp tu ambayo utawapa wale walio wa muhimu.
Surewengi wenu mna muda wa kucheka cheka na kuchezea humo kwenye groups!