Nimegundua watu wengi hawalipendi Kabichi, sijui kwanini!
Labda inategemea na Mapishi.
Mimi sina ubaguzi wa vyakula, Kabichi la Mapishi yoyote yale nakula, hata lichemshwe kidogo tu na lisiwekwe nyanya na kitunguu, mimi nakula bila wasi wowote.
Yan ulivyo itaja tuu, najihisi tumbo limejaaa,hakuna kitu sipend kama iyo kabich hata niwe na njaa ya kufa sikulii hakiiii,, alafu kuna izo za kuitwa kunde sasa na choroko uuuwi n kisanga kabisaa nikihis harufu tuu kichefuchefu tayar