menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Huko nyuma walikuwa boyfriend na girlfriend but wakaachana baadae demu kapata mume na jamaa kapata jiko tena hata kwenye harusi zao walikaribishana chakushangaza wakikutana wanatafuta gesthouse alafu wanaambiana eti wanakumbushia enzi zile basi hapo hata uvinza na kwenye maic wataenda ngoma hadi kunakucha na kila mmoja akienda kwake anacngizia vingine.