Nachora ramani za nyumba

Nachora ramani za nyumba

Nyumba ndogo tu ya vyumba vitatu, sebule ndogo, dining ndogo, union kubwa kidg kwa natumiz ya choo na bafu.
 
Wengine hatuingii PM... wewe weka namba ya simu wateja watakutafuta.. Ndiyo kanuni za JF
Ahaa Mkuu Kama vile nimeattach Email sijui umeiona samahani lakini!
 
Nyinyi mnaoomba namba na mtu hatoi hamjui kwamba watu wengine hawana simu? Hebu tulieni.
 
Back
Top Bottom