me nimeoa huko so napafahamu,ni sehemu flani kame hivi,watu wa kule ni wavivu ni sawa na Tanga tu,mbali na field ukiwa mjanja utatoka kimaisha unaweza kununua mashamba ya mikorosho ikawa ndio mwanzo wako kutoka, au ukanunua mbaazi ukazihifadhi ukauza baadae,mbali na yote wanawake wa pale kama wameongezewa asali hivi ni watamu balaa,na wengi ni mabikra kule sema pia ukimwi umesambaa kwasababu ya ile kambi ya jeshi iko kule so watchout! NOT TO THAT EXTENT