Unajua muda mwingine humu ndani inabidi uwe na I'd hata 3,kuitunza faragha zako,sidhani Kama kuna baya lolote,sisi tumpe lile ambalo tunaweza mpatia mengine atajua mwenyeweHa ha ha nina wasiwasi hii ni ID mbadala ya muandika uzi.
Unajua muda mwingine humu ndani inabidi uwe na I'd hata 3,kuitunza faragha zako,sidhani Kama kuna baya lolote,sisi tumpe lile ambalo tunaweza mpatia mengine atajua mwenyeweHa ha ha nina wasiwasi hii ni ID mbadala ya muandika uzi.
Hili somo kabisa pale kwenye kanisa lakoKuna kitu kinaitwa rejection spirit (roho ya kukataliwa). Mara zote watoto wa kiume ndio hawapendi mama zao wapate wapenzi, ila watoto wa kike wao huwa wanafurahi mama zao wanapopata wapenzi.
Huyu binti kaona kitu ambacho mama yake hajakiona kwasababu mama yuko desperate. Hivyo ana upofu sababu ya mapenzi.
Binti kagundua jamaa ana roho ya kukataliwa. Amekataliwa na wanawake wasio na watoto, pia huenda uchumi umemkataa, na huenda hata heshima imemkataa ndio maana binti anamuona jamaa jau
Maza huwa analalamika kwa dogo namna anavyokulea na wewe hujiongezi kila siku milio.Dogo amefikisha ujumbe.Nisiwachoshe jamani.
Kuna mdada nimempenda, nikaona sio mbaya Kama wazee tukakokotana tufike kanani.
Mpenzi wangu ana binti kamaliza chuo majuzi tu, aiseee binti huyu ananichimba mikwara kibao kwenye simu niachane na mama yake.
Mama yake hajui kitu, sijamweleza hili Jambo, Ila binti yake kanipigia simu Mara mbili, na katuma message akitaka nimwache mama yake kwani haoni Kama namfaa mama yake.
Na kafika mbali kuwa anajua mbinu za wanaume, najifanya kumpenda na kumtunza mama yake Kuna Jambo tu nalitafuta. Nimemkalia kimya sijamjibu. Nawaza Leo siku ya tatu nimpe jibu gani nakosa, maana nimekwazika hadi natamani nikakamate nikatie adabu.
Mama yake ana udhaifu wa hasira Sana, nikimweleza hili nitaharibu Sana, how can I handle the situation bila kuharibu Mambo?
Karibuni kwa mchango
Aachane nae tu hasa kama hana malengo yoyote na huyo mwanamke coz anajipotezea muda tuDuh wewe unamshauri nn jamaa yetu?
Mkuu, ndo dawa hiyo?Mkuu, una gari? Kama huna, tafuta hata la kuazima!
Mimi ndo naleta mkate nyumbani kwao kwa Sasa mkuu, Wala sifugwiMaza huwa analalamika kwa dogo namna anavyokulea na wewe hujiongezi kila siku milio.Dogo amefikisha ujumbe.
Hapana mkuu, nadhani tatizo linaweza kubwa zaidi kuliko nijuavyo, nataka kumwita tukae aniambie ukweli.Dah hongera sana mkuu kwa uvumilivu na kutokuwa wakuhamaki,Ila nadhani binti anaweza Kuwa sahihi kwa namna moja au nyingine amekuwa jicho la 3 la mama,amenusa hatari mbele ya safari hivyo anatoa angalizo la kujikagua Kama kweli unastahili au lah,anahitaji wazazi wenye kujiheshimu na sidhani katika umri aliokuwa nao anategemea kumwana mama yake yuko katika mahusiano ya namna hiyo.so ni kweli ni muda sahihi wa wewe Kuwa muwazi kwa huyo mwanamama.
Hebu Ava viatu vya huyo binti alafu uangalie binafsi ungepaswa ufanye nini,binti yuko sahihi kabisa tena mpaka Kaja kwako ujue ameshasumbuana sana na mamayake kuhusu mahusiano yenu ya aibu mbele yake.
Mkuu, Wala sifugwi na uchumi kiasi unaruhusu japo si Sana, ndo naendesha familia hii kwa Sasa financiallyKuna kitu kinaitwa rejection spirit (roho ya kukataliwa). Mara zote watoto wa kiume ndio hawapendi mama zao wapate wapenzi, ila watoto wa kike wao huwa wanafurahi mama zao wanapopata wapenzi.
Huyu binti kaona kitu ambacho mama yake hajakiona kwasababu mama yuko desperate. Hivyo ana upofu sababu ya mapenzi.
Binti kagundua jamaa ana roho ya kukataliwa. Amekataliwa na wanawake wasio na watoto, pia huenda uchumi umemkataa, na huenda hata heshima imemkataa ndio maana binti anamuona jamaa jau
situation kama hyo humaliza nguvu za kiume kbsMwambie bint amwambie mama yake kwamba ww humfai inakuaje akwambie ww
Tena mzoefuHuyo sio mdada ni mmmama kikongwe
A man knows how to handle situations like these one....Nisiwachoshe jamani.
Kuna mdada nimempenda, nikaona sio mbaya Kama wazee tukakokotana tufike kanani.
Mpenzi wangu ana binti kamaliza chuo majuzi tu, aiseee binti huyu ananichimba mikwara kibao kwenye simu niachane na mama yake.
Mama yake hajui kitu, sijamweleza hili Jambo, Ila binti yake kanipigia simu Mara mbili, na katuma message akitaka nimwache mama yake kwani haoni Kama namfaa mama yake.
Na kafika mbali kuwa anajua mbinu za wanaume, najifanya kumpenda na kumtunza mama yake Kuna Jambo tu nalitafuta. Nimemkalia kimya sijamjibu. Nawaza Leo siku ya tatu nimpe jibu gani nakosa, maana nimekwazika hadi natamani nikakamate nikatie adabu.
Mama yake ana udhaifu wa hasira Sana, nikimweleza hili nitaharibu Sana, how can I handle the situation bila kuharibu Mambo?
Karibuni kwa mchango
Je unajua kwamba unaweza kuwa na hela lakini uchumi wako ukawa mbovu?Mkuu, Wala sifugwi na uchumi kiasi unaruhusu japo si Sana, ndo naendesha familia hii kwa Sasa financially
msaidie mawazo, amekuja hapa kutaka ushauri wala si vingnevyo mkuuA man knows how to handle situations like these one....
It's hard for boys to hanlde....