chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,082
Nisiwachoshe jamani.
Kuna mdada nimempenda, nikaona sio mbaya Kama wazee tukakokotana tufike kanani.
Mpenzi wangu ana binti kamaliza chuo majuzi tu, aiseee binti huyu ananichimba mikwara kibao kwenye simu niachane na mama yake.
Mama yake hajui kitu, sijamweleza hili Jambo, Ila binti yake kanipigia simu Mara mbili, na katuma message akitaka nimwache mama yake kwani haoni Kama namfaa mama yake.
Na kafika mbali kuwa anajua mbinu za wanaume, najifanya kumpenda na kumtunza mama yake Kuna Jambo tu nalitafuta. Nimemkalia kimya sijamjibu. Nawaza Leo siku ya tatu nimpe jibu gani nakosa, maana nimekwazika hadi natamani nikakamate nikatie adabu.
Mama yake ana udhaifu wa hasira Sana, nikimweleza hili nitaharibu Sana, how can I handle the situation bila kuharibu Mambo?
Karibuni kwa mchango
Kuna mdada nimempenda, nikaona sio mbaya Kama wazee tukakokotana tufike kanani.
Mpenzi wangu ana binti kamaliza chuo majuzi tu, aiseee binti huyu ananichimba mikwara kibao kwenye simu niachane na mama yake.
Mama yake hajui kitu, sijamweleza hili Jambo, Ila binti yake kanipigia simu Mara mbili, na katuma message akitaka nimwache mama yake kwani haoni Kama namfaa mama yake.
Na kafika mbali kuwa anajua mbinu za wanaume, najifanya kumpenda na kumtunza mama yake Kuna Jambo tu nalitafuta. Nimemkalia kimya sijamjibu. Nawaza Leo siku ya tatu nimpe jibu gani nakosa, maana nimekwazika hadi natamani nikakamate nikatie adabu.
Mama yake ana udhaifu wa hasira Sana, nikimweleza hili nitaharibu Sana, how can I handle the situation bila kuharibu Mambo?
Karibuni kwa mchango