Nabii tito iile ni project ushahidi ni huu

Nabii tito iile ni project ushahidi ni huu

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,717
Reaction score
13,439
Huyu jamaa huwa anaibuka vipindi nnchi ina mambo ya muhim then anapotea japo watu wengi wanadhani ni chizi yule sio chizi

Jiulize pesa ya kuishi na kula vizuri hadi kujipodoa anapata wapi, anaishi sehem nzuri umeme kiila kitu kipo ushajiuliza pesa anatoa wai ya bills

Anaandaa drama anawapata watu wake mikorgo kabisa na wana mavazi wanashona ushajiuliza nani anamdhamini

Kuna kipindi alikuwa anazunguka mikoani ile bill ya safari nani alkuwa abalipa
 
Bwabwa la chama cha majambazi. Kuna siku mtamuona akiwa na mwandambo
Tito ni mwenyeji sana mitaa ya samora Avenue...nilimjulia pale 2006...

kipindi niko kishoka pale... Tra ya zamani nyuma ya exim bank ...kabla hakuna hata mambo ya EFD mashine haijazaliwa..pesa tunalipa dirishani....tumemnywesha sana pombe Stesheni pale(kigorofani)...kuna mwanangu alikuwa anampumulia!.
 
Tito ni mwenyeji sana mitaa ya samora Avenue...nilimjulia pale 2006...

kipindi niko kishoka pale... Tra ya zamani nyuma ya exim bank ...kabla hakuna hata mambo ya EFD mashine haijazaliwa..pesa tunalipa dirishani....tumemnywesha sana pombe Stesheni pale(kigorofani)...kuna mwanangu alikuwa anampumulia!.
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom