JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,449
- 2,496
hahaha unacheza kulingana na biti ilivyo. wakati wa singeli cheza singeli, biti la reggae chega rege. usije kuwa kama masai anaweza cheza kwaya katikati ya singeliAachen unafiki. Kipindi cha jiwe wametekwa watu wengi, hakuna aliye inua pua
tutakulaani mkuuNabii gani, takataka za utapeli
Watu hawakulia? Na sasa hivi pia wasilie?Aachen unafiki. Kipindi cha jiwe wametekwa watu wengi, hakuna aliye inua pua
Hiyo ndiyo inafanya hata ambao walikuwa hawali ubwabwa wasile tena?Ishi maisha yako ya sasa.Marehrmu achia makaburi.Aachen unafiki. Kipindi cha jiwe wametekwa watu wengi, hakuna aliye inua pua
sawa.....unabii alimpa nani? self-proclaimed Nabiis...tutakulaani mkuu
Tafuta somo linaitwa How to create anointingsawa.....unabii alimpa nani? self-proclaimed Nabiis...
Kwahiyo unataka muendelee kuteka na kuua watu kwa sababu wakati wa jiwe hatukuinua pua? Acha udini .Aachen unafiki. Kipindi cha jiwe wametekwa watu wengi, hakuna aliye inua pua
Kwa maana hiyo unataka watu wakae kimya wtekaji waendelee? Au hukuona wakati Roma ameteka RC Makonda alipaza sauti hadi kutoa muda sahihi ya Roma kuachiwa?Aachen unafiki. Kipindi cha jiwe wametekwa watu wengi, hakuna aliye inua pua
hahahaKwa maana hiyo unataka watu wakae kimya wtekaji waendelee? Au hukuona wakati Roma ameteka RC Makonda alipaza sauti hadi kutoa muda sahihi ya Roma kuachiwa?