The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,088
- 14,576
Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.
Huyu mtu nimemjengea hadi mamake na ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hack simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
Huyu mtu nimemjengea hadi mamake na ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hack simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .