Naapa mimi The Only sitopenda tena

Naapa mimi The Only sitopenda tena

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
11,088
Reaction score
14,576
Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.

Huyu mtu nimemjengea hadi mamake na ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hack simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .
 
Nikiwa na akili timamu tena bila kulazimishwa na mtu ninakihama chama cha kupenda kikweli na kuhamia cha wazee wa hit and run kuunga mkono juhudi za maplayer.

Huyu pumbafu nimemjengea hadi mamake ni kweli niliahidi mwakani kumuoa lakini leo nimefanikiwa ku-hick simu yake daah hadi kabang anatoa hawa viumbe si wakuamini yaaani sasa ntayapunguzia machungu kwa wengine .

Ahahahaaa....welcome to the club where I’m the head nigga in-charge!
 
Daah pole sana aisee fid anaimba unamuita darling wife mamito unapata habari kwa wanafk kuna walafi wanamla hadi jicho inauma saaana ila mkuu inaonekana ulizama sana by de way karibu
yaani kaninyoosha
 
Back
Top Bottom