Naapa kujiua

Status
Not open for further replies.
Umeona ukisema kujiua watu watakuonea huruma ukahaki account zao sio? 😅
 
Pole mzee maisha unayoyaacha yana afadhali kuliko unayoyakimbilia unajua ni kwa nini? Kwa sababu haya maisha unayajua kuwa ni magumu nk ila hayo unayoyakimbilia hujui yakoje.
 
We jitundike tu, watu tumepigwa na life na bado tunavimba tu shule tumesoma ila ajira hamna na tunapambana acha ufara unakufaje kizembe, nyie ndo machoko life ikikuchapa unauza mali ya serikali
 
Kuishi vizuri sio lazima uende shule, maadam unajua kusoma na kuandika tayari una mwanga wa kuingia mtaani na kupambana, tafuta hela mzee kwa namna yoyote, Shigongo amepata degree akiwa mtu mzima kbs. Mawazo ya kujinyonga ni mawazo dhaifu, najua ulitaman na uliamini njia rahisi ya mafanikio yako ni kwenda shule, nature imekukatalia, iheshimu ifuate inakokupeleka utafika mahali pazuri tu.

All the best broh
 
Umeona ukisema kujiua watu watakuonea huruma ukahaki account zao sio? 😅
Mkuu sio masihara watu wa aina hii wapo wengi Sana..mods huwa wanajitahidi kufuta Sana nyuzi zao....
Sema inakua ujinga una miliki smartphone halafu unatangaza kujiua
 
Kujiua ni kama tu kumpuuza Mungu.

Maelfu ya Watu wanakufa kila kukicha kwa majanga, magonjwa n.k...sasa kwa nini wewe usiheshimu muda unaoachiwe uendelee kuwepo?

Amini usiamini hakuna unachokikimbia kwa kujitoa uhai na kuna kila dalili kuwa huko utakapofika hayo uliyoyakimbia yanaanza mwanzo.

Cha kutambua ni kwamba kila muda unaoachwa uwepo una thamani kubwa, ni sekunde moja tu iliyopo mbele yako inaweza kubadilisha kila kitu...kutoka 0 mpaka bilioni moja.

Kama umekuwa na uthubutu wa kufikiria kujiua ni vipi ukose uthubutu wa kuomba msaada kiungwana tu? Nchi tupo milioni zaidi ya hamsini yupo atakayekusaidia eidha kwa mali au kwa hali.
 
ukifika huko msalimie katibu wa masanja
 
Poa ukijiua tujuze
 
Mi mwenzio ni kama wewe tu nipo zangu uku morogoro najilimiaa zangu mpunga nimeanza last year lakini nimejiozesha saaa hiv npo nakafamilia kangu hapa mke na mtoto mmoja wa kiume tumefanana kweli na kana tabasamu zuri katoto kangu ka miezi 3

Nilikuja uku nikalima ekr 1 nikapata gunia 19 saiv nimenunua aset za ndani na mimepanga chumba na seble japo ni kijijin ila umeme na maji vpo tumejiwekea chakula cha kutosha misimu miwili na akiba ya pesa tujitibie tukiumwa.

Saivi na watch movie na familia yangu tukiwa wenye furaha tele uku nikisubiri masika nilime tena

We unataka kujiua shauri yako

Nb, nimetimuliwa chuo kwa kukosa ada mwaka jana (ningekuwa mwaka wa pili) na mwaka jana huo huo nikaondokewa na mama yangu mzazi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…