Naanzia wapi kupata cheti ila leseni ninayo

Naanzia wapi kupata cheti ila leseni ninayo

Umbuju

Member
Joined
Jan 27, 2019
Posts
79
Reaction score
78
Leseni yangu ni class A B C1 C2 C3 D
Sikusoma veta lakini nahitaji nipate vyeti vya veta ili vinisaidie kuomba kazi naanzia wapi wakuu..
 
Naomba kujua Kwa leseni hiyo nitapata cheti gani ?
kwani hiyo leseni uliipataje bila kupitia mafunzo yoyote?
cheti utapata tu,nadhani na leseni mpya ya daraja uliosomea,, hiyo tupa kule
 
PSV mbona ni siku 10 tu yaani two weeks tayari umemaliza course unapata cheti.
 
PSV mbona ni siku 10 tu yaani two weeks tayari umemaliza course unapata cheti.

Shukran mkuu,ntafanya hivyo
Hawawezi kuhitaji vyeti vya vyuma au wanaangalia leseni tu
 
Shukran mkuu,ntafanya hivyo
Hawawezi kuhitaji vyeti vya vyuma au wanaangalia leseni tu
Uwe dereva mwenye leseni.
Na pia utatestiwa kama kweli wewe ni dereva,utalipia elfu 20 kwa ajili ya testing ya kuendesha tata/eicher ukifaulu test ndipo utapewa account number ya bank ukalipie ada na kisha kuanza kuingia darasani.
 
Uwe dereva mwenye leseni.
Na pia utatestiwa kama kweli wewe ni dereva,utalipia elfu 20 kwa ajili ya testing ya kuendesha tata/eicher ukifaulu test ndipo utapewa account number ya bank ukalipie ada na kisha kuanza kuingia darasani.

Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom