EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Nimekuwa nafuatilia vikao vya bunge kwa kipindi sana hasa katika bunge hili lililoanza mwaka 2010 ambalo limekuwa linakaribiana na changamoto kubwa nadhani kuliko mabunge yote yaliyowahi kutokea. Katika hali hii uongozi imara ni jambo kubwa kabisa lilikuwa linahitajika ambapo wote mtakuwa mashahidi kwamba ulionekana kutokuwepo katika vikao vya mwanzo vya bunge hili.
Hali naona kama imeanza kurekebika kidogo hasa kwa Naibu Spika ambaye naona kadri siku zinavyokwenda amekuwa akibadilika kwa mtazamo chanya kiasi cha kuanza kuaminiwa kwa uongozi wake. Napenda nikiri kwamba kwa Spika mwenyewe bado hajaonyesha hivyo na pia kwa wenyeviti (Hasa yule mwenyekiti ambaye mara zote akiongoza anaondoka na balaa)
Kwa ufupi napenda niseme kwamba naanza kumuamini naibu spika na nakuwa na imani ya kikao kwenda salama pale anapokuwa anaongoza bunge
Ni mtazamo wangu tu................
Hali naona kama imeanza kurekebika kidogo hasa kwa Naibu Spika ambaye naona kadri siku zinavyokwenda amekuwa akibadilika kwa mtazamo chanya kiasi cha kuanza kuaminiwa kwa uongozi wake. Napenda nikiri kwamba kwa Spika mwenyewe bado hajaonyesha hivyo na pia kwa wenyeviti (Hasa yule mwenyekiti ambaye mara zote akiongoza anaondoka na balaa)
Kwa ufupi napenda niseme kwamba naanza kumuamini naibu spika na nakuwa na imani ya kikao kwenda salama pale anapokuwa anaongoza bunge
Ni mtazamo wangu tu................