acha zako sijawahi kukwambia hivyo,au wataka nimwage mboga nilikwambia nn!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mwaga mboga mie nimwaga ugali.....
acha zako sijawahi kukwambia hivyo,au wataka nimwage mboga nilikwambia nn!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Daaaah aiseee akijibu haya hatorudia tena kila kitu hapo umemaliza jombaaaaJ e huyo ndio mpenzi wako wa kwanza?? Je kwani kila uhusiano baina ya mvulana na msichana uwe ndoa??? Kwani umeambiwa na mganga ya kwamba ukioana na huyo mchumba utakuwa tajiri?? Kwani umepata hasara ya shilingi ngapi kwa kumwacha?? Jaribu kutulia na kujibu hayo maswali, kisha utaona kama unayo sababu ya msingi ya kuchukia mapenzi.
mwaga mboga mie nimwaga ugali.....
we umeshamwaga ugali,kwani umepika tena!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
huo sio ushauri
mpenzi wangu ananiambia tuachane bila sababu na sijawahi hata kumwambia swala la kufanya mapenzi lakini basi tuu ananiambia tuachane bila kosa lolote nifanyeje maana nahisi kuchukia mapenzi
Maandishi yaneonesha bado kijana mdogo sana, umepata Division gani wewe form four?
Nipo A-level now kwan mapenzi yana udogo na ukubwa ww???