Junior Rutashoborwa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 228
- 211
- Thread starter
- #21
Asante mkuubig up!
Hawa ni watu wa kucopy na kupaste,halafu utasikia nina ziara kwenda OMAN huku akijimwambafai!!
Watz bhana!!
Asante mkuubig up!
Hawa ni watu wa kucopy na kupaste,halafu utasikia nina ziara kwenda OMAN huku akijimwambafai!!
Watz bhana!!
Wapi huko?ilipokwa koleji yenuSio uongo mkuu.
Dr. Dre nilikutana nae kwenye college yetu walikuja kwenye tamasha.
College moja wapo pale UoOWapi huko?ilipokwa koleji yenu
Mkuu PATIGOO natamani sana ktk arobain ya ndgu yangu uwepo.Mdogo wangu una tatizo la akili serious you need help
Unaweza kua unachangamsha jukwaa au unatafuta likes na comments but pyschologically you are destroying yourself
Hapa mkuu tutakao kuelewa ni wacahache sana.Umeongea kimuzik zaid tena ule wa kuhitaji kujua................
Unakuta muimbaji, nyimbo zote anatumia chord progression moja. Mbaya zaidi key inabakia ile ile. ........