Naangamia nahisi kukata tamaa

Hata kama ni ndugu zako. Jitenganishe nao ili kuepusha gharama za kujitibia tibia na kusaka muujiza kila siku
 
Amka kila.sku saa Tisa soma zaburi ya 27 afu piga maombia ya Toba na shida zako.

Saa Tisa mchana hvo hvo. Haijalishi we ni muislam shika Biblia soma..kwa Mwaposa wamejaa akina halima ,Salim ,Abdul sembuse ww

Mambo yakianza kunyooka tuma sadaka yako niendelee kupata ka whisky
 

shukran mzee shirimaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…