Naangamia nahisi kukata tamaa

Naangamia nahisi kukata tamaa

Mm siku izi nachukia kazi za kuajiriwa..... Sizipendi Kaz za laki 2 na nusu mpk 1m labda kama ni kwame kabisa...

Nakushaur Kwa Imani yako NENDA KWA MWAMPOSA
Napenda sana kuajiriwa aise tuko tofauti sana japo ninabiashara yangu inaniingizia kipato cha uhakika lkn natamani tu kuajiriwaa cjui ninapepo gani linanisumbua
 
Hakuna mtu anaweza kukufanya chochote mkuu usije ingiza waganga ndio utaisha kabisa...kwenye Maisha acha kuamini uchawi utasonga mbele hata dini usiegemee sana nenda Sali lala mbele mambo ya maombi yatakumalizia zaidi hela.
Jutathmini wapi unapeleka hela haziwezi isha tu...halafu hizo hela unasema unapata na hazikai ni shillingi ngapi?
 
Kuna mtu alipata kuniambia kwenye haya maisha hakuna mtu anayependa kukuona ukiwa unafanikiwa zaidi ya mama yako mzazi tu.Inafikirisha kwa kweli.
Marioo nae kaimba "kwani nikifanikiwaa nini unapungukiwa"
 
Hizo mbegu ungeenda kuzipanda nje. Maybe n za mti wa matunda.
On a serious note, kama ukiamini umepigwa kimbola bas life lako litakua gumu kwa kipindi kirefu sana.
Kila mwanaume anapitia milima na mabonde kwenye life, kuna kipindi unawamba mpka unahisi ulikosea kuja duniani then later mambo yanakaa mswano.
Cha muhim we komaa kila kona ulishe familia yako life liende maana jeyri ya mshua n watoto kwenda chooni.
Huko mbele yatajiseti tu.
Hata b4 kupata hii kampuni X lazma uliwahi pitia msoto pia sema tu huu wa sasa hv unauona mkali kwa maana ulikua umebadolisha maisha so hata shida zako zikabadilika pia

sawa mkuu
 
Hakuna mtu anaweza kukufanya chochote mkuu usije ingiza waganga ndio utaisha kabisa...kwenye Maisha acha kuamini uchawi utasonga mbele hata dini usiegemee sana nenda Sali lala mbele mambo ya maombi yatakumalizia zaidi hela.
Jutathmini wapi unapeleka hela haziwezi isha tu...halafu hizo hela unasema unapata na hazikai ni shillingi ngapi?

asante kwa ushauri
 
Huwezi kufanikiwa hadi uache kuhisi kila mtu anakuchukia, na uache kulazimisha ukaribu na watu wasio hitaji ukaribu na wewe ikiwezekana hata habari zao usiulizie waache wao ndo waulizie habari zako
 
Come on my Nigga .
Ifike mahali ujue kuwa ndugu na watu wa kujali na kuwaza juu yao ni mkeo na wanao .

Ila ukumbuke hizi imani ukiziamini basi ndiyo inakuwa shida pia so pambana ujuavyo usiwaze uwepo wa mkono wa mtu maishani mwako .
 
Nilipata kazi 2020 kwenye kampuni X maarufu sana hapa Tz nashukuru Mola mambo yangu yalinyooka saaana vijisent vidogo vidogo havikuwa vikwazo tena kwangu

Ghafla mwaka jana 2022 mwezi wa 12 nikasimamishwa kazi kwa kosa ambalo mpaka na leo sielewi bado nikatapeliwa milion 1.4 na kampuni yangu huku mikosi inaniandama nikipata pesa hazikai kila lolote nifanyalo halifanikiwi.

Kuna siku nilishawahi kukuta mbegu 3 juu ya mlango sebuleni kibaya zaidi nina ndugu zangu ambao nimeshare nao baba hawapendi kuniona ninafanikiwa hasa huyu mmoja ndio nilikuwa nakaa nae jirani ni kaka angu yeye ni askari polisi lkn kajawa na chuki na wivu siku zote hawa ndugu zangu wanapenda mimi niwe wakuteseka tu.

Ila kila mtu alikuwa na familia yake na mji wake ila sasa hivi kahamia kota za Barracks toka mwaka jana mwezi wa 4 lkn jamaa huyu haachi kunisemea ubaya kwa watu na kudai mm mzee wetu ananipendelea sana kuliko wao ila kiuhalisia haipo hivyo ni chuki tu zimemtawala na tumekua wote toka wadogo nafahamu tabia zao za chuki na alivyohama hakuwahi kuniaga yeye hata mkewe ilifika kipindi hata mtoto wao alishawahi kusema "mama amenikataza nisije kwa baba mdogo" tena akiwa na mama yake mm na mke wangu tukaishia kucheka tu na kupotezea

Mara nyingi ndugu yangu nishawahi kumchana tabia yake ya chuki na roho mbaya anaeza kumpigia simu mama yake jamaa akaongea uongo uongo juu yangu hata mama yake pia hanipendi japo kanilea lkn ni mtu aliyekuwa na chuki na mimi za kimya kimya na mm hilo nalifahamu sana.

NIFANYAJE HAPO KUJIKWAMUA KWA MAANA NAHISI KAMA KUNA MCHEZO NINAOFANYIWA AMBAPO SIELEWI MAMBO YANGU YANAFELI GHAFLA PESA SIZIONI NA NIKIPATA HAZIKAI NIKIENDA KUFANYA INTERVIEW ZA KAZI NAONA MATUMAINI KABISA LKN SIITWI WALA MREJESHO WOWOTE

SIJUI NIFANYE NINI HAPO AKILI YANGU IMEKOSA KUFIKIRI ZAIDI BADO FAMILIA INANIANGALIA MAMBO YAMEYUMBA SANA MPAKA SASA NAANZA KUUZA VITU VYA NDANI ILI NIPATE KULISHA MKE NA MTOTO WANGU
Pole sana kamanda hao ndio walimwengu baab. Ushapigwa nuksi yani na nyota wamezifyeka. Utahangaika kinoma bila kujipiga dodoki la kiimani. Pambana kujisafisha kiroho aidha kwa mitishamba au kwa upako sababu bila hivyo wewe ni sawa na crate tupu kwa sasa.
 
Wewe hujaROGWA ni ka msimu tu ka upepo flani hivi unakapitia sema tu hujaamua kukubaliana nako na kuamini kua utavuka na huenda hujazoea kupitia shida maisha yako mengi ila hii hali huwa ya kawaida sana inamkuta kila mwanaume katika maisha... ACHA KUAMINI MIZIMU, UGANGA, MAJINI NANI SIJUI NA UJINGA UJINGA MWINGINE WA MAMBO YA GIZA (Uchawi upo ila usiuamini sana, Imani yako ndiyo itakuokoa au kukuangamiza ni wewe kuamua kujiset sehemu sahihi sasa)....
 
Nilipata kazi 2020 kwenye kampuni X maarufu sana hapa Tz nashukuru Mola mambo yangu yalinyooka saaana vijisent vidogo vidogo havikuwa vikwazo tena kwangu

Ghafla mwaka jana 2022 mwezi wa 12 nikasimamishwa kazi kwa kosa ambalo mpaka na leo sielewi bado nikatapeliwa milion 1.4 na kampuni yangu huku mikosi inaniandama nikipata pesa hazikai kila lolote nifanyalo halifanikiwi.

Kuna siku nilishawahi kukuta mbegu 3 juu ya mlango sebuleni kibaya zaidi nina ndugu zangu ambao nimeshare nao baba hawapendi kuniona ninafanikiwa hasa huyu mmoja ndio nilikuwa nakaa nae jirani ni kaka angu yeye ni askari polisi lkn kajawa na chuki na wivu siku zote hawa ndugu zangu wanapenda mimi niwe wakuteseka tu.

Ila kila mtu alikuwa na familia yake na mji wake ila sasa hivi kahamia kota za Barracks toka mwaka jana mwezi wa 4 lkn jamaa huyu haachi kunisemea ubaya kwa watu na kudai mm mzee wetu ananipendelea sana kuliko wao ila kiuhalisia haipo hivyo ni chuki tu zimemtawala na tumekua wote toka wadogo nafahamu tabia zao za chuki na alivyohama hakuwahi kuniaga yeye hata mkewe ilifika kipindi hata mtoto wao alishawahi kusema "mama amenikataza nisije kwa baba mdogo" tena akiwa na mama yake mm na mke wangu tukaishia kucheka tu na kupotezea

Mara nyingi ndugu yangu nishawahi kumchana tabia yake ya chuki na roho mbaya anaeza kumpigia simu mama yake jamaa akaongea uongo uongo juu yangu hata mama yake pia hanipendi japo kanilea lkn ni mtu aliyekuwa na chuki na mimi za kimya kimya na mm hilo nalifahamu sana.

NIFANYAJE HAPO KUJIKWAMUA KWA MAANA NAHISI KAMA KUNA MCHEZO NINAOFANYIWA AMBAPO SIELEWI MAMBO YANGU YANAFELI GHAFLA PESA SIZIONI NA NIKIPATA HAZIKAI NIKIENDA KUFANYA INTERVIEW ZA KAZI NAONA MATUMAINI KABISA LKN SIITWI WALA MREJESHO WOWOTE

SIJUI NIFANYE NINI HAPO AKILI YANGU IMEKOSA KUFIKIRI ZAIDI BADO FAMILIA INANIANGALIA MAMBO YAMEYUMBA SANA MPAKA SASA NAANZA KUUZA VITU VYA NDANI ILI NIPATE KULISHA MKE NA MTOTO WANGU

1. Acha kukata Tamaa
2. Jiamini na Jikubali sana
3. Acha Kuamini Umerogwa
4. Kuwa Mbunifu wa Fursa
5. Jichanganye na Watu
6. Tathmini Mapungufu yako
7. Mtumainie Mwenyezi Mungu
 
Pole sana kamanda hao ndio walimwengu baab. Ushapigwa nuksi yani na nyota wamezifyeka. Utahangaika kinoma bila kujipiga dodoki la kiimani. Pambana kujisafisha kiroho aidha kwa mitishamba au kwa upako sababu bila hivyo wewe ni sawa na crate tupu kwa sasa.

shukran mkuu
 
Back
Top Bottom