Kuna vigezo ni modifiable na vingine ni non-modifiable yaani kuna vigezo vinaweza kubadilika mfano Dini/imani. Kama atakuwa tayari kuifuata imani ya kristo ya kanisa Pentecost na vigezo vingine vipo okay, hiyo haitakuwa shida (japo mtu anaweza kubadili imani ili tu apate anachokitaka na badaye akaja kugeuka)Na akitokea mwenye vigezo vyote Ila hajaokoka unafanyaje?
Na akitokea mwenye vigezo vyote Ila hajaokoka unafanyaje?
Andiko la usifungiwe nira na wasioamini unalionaje? Nyie ndio hua mnaokokesha watu, unamwambia nenda kajifanye umeokoka kanisa Fulani then nakuja kukuchumbia, ukweli Ni kua Kama umeokoka huruhusiwi kuoa au kuolewa na asiye okokaKuna vigezo ni modifiable na vingine ni non-modifiable yaani kuna vigezo vinaweza kubadilika mfano Dini/imani. Kama atakuwa tayari kuifuata imani ya kristo ya kanisa Pentecost na vigezo vingine vipo okay, hiyo haitakuwa shida (japo mtu anaweza kubadili imani ili tu apate anachokitaka na badaye akaja kugeuka)
Kuna vigezo havibadiliki mfano umri, kuwa na mtoto n.k hivo ndio vyenye changamoto
Yaan inashangaza sana, he is not serious hata kidogoDon’t take this idiot serious, mtu anayetaka mke aliyeokoka hawezi tafuta jamii forums!
Yaan inashangaza sana, he is not serious hata kidogo
Exactly, na atawapataAnataka kuwateka tu wadada wa watu walio desperate!
You may be right in your opinion boss. Sikupingi, lakini kumbuka hata huko makanisani tuliko tunakosema tunaonyeshwa wengi tunadanganywa na hisia/macho na tunaishia kumsingizia Mungu.
Wengi ( sio wote).
Kuna haja ya kubadilisha jina aisee, najiona nikikosa mume sababu ya jina😀😀Hata hilo jina tu tayari litamponza. financial services lazma apende pesa sana.
Habari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana
Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza
Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
THREAD CLOSED
Usikute kanisani wamemtenga kwa tabia za uasherati anakaa kiti chake mwenyeweDon’t take this idiot serious, mtu anayetaka mke aliyeokoka hawezi tafuta jamii forums!
Vibonge tuna mapenz ya kweli hao wembamba watawasumbuaHabari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance was an issue, sasa hivi ninavoongea ni mja mzito na mwenye mimba si mimi.
Nimekuja hapa nahitaji rafiki wa kike ambaye Mungu akipenda baada ya kufahamiana vizuri na kukubaliana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu
1. Umri- 27 mwenye akili timamu, iliyokomaa na ninajitegemea.
2. Rangi - Mweusi
3. Kimo- Cha kati, si mfupi wala mrefu sana
4. Kazi- Mwajiriwa sekta binafsi na nimejiajili pia kwenye kilimo na mifugo.
5. Elimu- BSc....
6. Dini- Mkristo
7. Umbo- wastani ( sina kitambi)
8. Sina mtoto
9. Mwenye upendo wa dhati
10. Sina uwezo mkubwa sana kifedha ila ninajimudu kiuchumi na ninaweza kusimama kama baba nikatimiza majukumu.
11. Situmii kilevi cha aina yoyote
12. Nyingine tutazidi kufahamiana
Sifa za mtarajiwa
1. Umri- 23 hadi 27. (Nitaomba awe honest hapa)
2. Umbo- La kati au mwembamba ( vibonge mtanisamehe)
3. Elimu- Walau kidato cha nne
4. Dini - Mkristo hai( itapendeza kama anasali kanisa la TAG, EAGT au Kanisa lolote la Pentecost)
5. Asiwe na mtoto
6. Rangi- yeyote sawa
7. Asiwe anatumia kilevi cha aina yoyote
8. Awe mtu anayependa maisha ya uhalisia na sio “Drama queen"
9. Mwenye staha, uvumilivu na msikivu. mabishano na jeuri havijengi.
10. Mwaminifu katika mahusiano na kama ulishakuwa na mtu hakikisha mmeachana kabisa ili usije kwangu nusunusu.
11. Mkarimu mwenye kupenda ndugu ( wa kwake na wa kwangu pia)
12. Msafi na anayejitunza
Kwa mwenye 90% ya sifa tajwa hapo juu Karibu .
Ahsanteni
THREAD CLOSED