Kwa yanayoendelea kujiri nchini kwa sasa hakuna ubishi kuwa nina serikali legelege,,,,,yapo mengi sana yanayonifanya niamin hivyo,lakin mojawapo ni hili la MKURUGENZI WA KAMPUN YA ENGEN aliyeipa serikali saa 24 tu ili iweze kubadili bei elekez ya mafuta,na hadi leo sijasikia serikali kuchukua hatua madhubuti kama vile KUMTIA KASHKASH mkaburu huyo,lakini pia suala la mgomo wa wauza mafuta hadi leo haujapatiwa ufumbuz,hili linaomesha kuwa serikal yangu ni legelege,pia huko bungen nako serikali yangu bado inaonesha ni legelege,maana mawaziri wake wanavyohenyeshwa hadi inafikia muda mwanasheria mkuu anasimama kuwasaidia,lingine ni hili la ofis ya SUPIKA kumtetea wazir mkuu asiulizwe maswali magumu,.........endelea kuelezea ulegelege wa serikali yako