Naahidi 6000 MGW za Umeme 2015

Naahidi 6000 MGW za Umeme 2015

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,900
1.Sasa niulize nitafanya nini na kwanini uichague CCM tena tokomeza tatizo la umeme!

2.Katika mada hii napenda sana ma engineer waulize maswali mazito ya ki technical zaidi!

3.Na wanauchumi wakae mkao wa kula na maswali ya investment cost!

4.Wataalamu wa petrol nao wajiandae na internal combustions zao!

5.Pia watu wazito nao walete michango yao changamoto zao za kutendaji.

6.bila kusahau wazee wa maji mazito D2O! I mean Nuclear pia! Andaeni maswali!!
 
Nipo hapa nasubiri maswali ya wana Jamii forum!!


Sent from my iPhone
 
Nitaaiigawa Tanzania katikati nitaweka mitambo thermal power plant miwili kila mmoja utatoa 2000MGW ili kupunguza transmission costs! Pia mitambo yote ya gas itakuwa hybrid na kuzalisha 60MGW za ziada kila mmoja!!


Sent from my iPhone
 
Nipo hapa nasubiri maswali ya wana Jamii forum!!


Sent from my iPhone

Nitaaiigawa Tanzania katikati nitaweka mitambo thermal power plant miwili kila mmoja utatoa 2000MGW ili kupunguza transmission costs! Pia mitambo yote ya gas itakuwa hybrid na kuzalisha 60MGW za ziada kila mmoja!!


Sent from my iPhone
 
kama mpaka sasa ni miaka 50 tangu uhuru hazijafika hata 2000MW tanzania nzima, ww hizi utazipataje kwani?,
 
Utakopa Nchi gani? Deni la Taifa Utalifutaje?

Katika Deni la taifa usijali maana kila unit ya umeme unaotumia kuna ruzuku ya serikali ndani yake! Tukikopa mara moja na kumaliza hii project umeme utakuwa Rahisi sana na tanesco itajiendesha kwa faida na kulipa hili Deni la trillion3 ndani ya miaka10 tu


Sent from my iPhone
 
Hapa kwa mtazamo wangu wa mawazo yako nina imani unachosema inawezekana ila ngoja hawa misukule mandondocha wa ccm waje hapa uwasikie.
Copy kwa MSALANI chama aminangalo Ritz na wale wajinga wenzenu hebu zungukeni kipande hii!
 
Last edited by a moderator:
kama mpaka sasa ni miaka 50 tangu uhuru hazijafika hata 2000MW tanzania nzima, ww hizi utazipataje kwani?,

Kweli kabisa maana hatuna mtambo hata mmoja wa thermal power! Kwa taarifa tu mtambo mmoja mdogo sana unatoa 1000MGW na mtambo mkubwa wa gasi 100MGW! Na hybrid 160MGW! Na makaa ya mawe yapo ya kutosha! Na gasi ipo pia!


Sent from my iPhone
 
Wewe utakuwa ndiyo Prof. Muongo wake no sorry Prof. Muhongo wake?
 
Wewe utakuwa ndiyo Prof. Muongo wake no sorry Prof. Muhongo wake?

Sikweli maana ingekuwa mimi nilivyo na hasira ningeweka pia treni ya umeme zaidi ya trillion 300 na kuzilipa ndani ya miaka 25! Usiulize nitafanyaje maana nitagombana na watu!!!


Sent from my iPhone
 
Waajiliwa wa tanesco ni hawa hawa hama unaleta wengine? Tuambie kiuchumi bei ya unite moja ya umeme itakuwa beigani?
 
Mkuu mimi sina mashaka na wewe ila mfumo wa siasa kuoutway taaluma ndo majanga katka taifa letu. Kuna wahandisi washafanya feasibility study wakadesign ila yote hayo yakawekwa pending. Mfano kuna mhandisi aliwah kupropose provision za fibre cable katika njia kuu 'transmittion line' miaka ya nyuma kipind wanajenga hiyo miundo mbinu na isue ikapigwa pending. Leo hii tunaingia gharama za kuchimbua mifereji kupitisha mkongo wa mawasiliano. Nakushaur kama unania njema na si kutafuta umaarufu, tafuta proposal zilizofanyika uone potential zilizopo na zitakazokuwepo baada ya fursa ya nishati ya gas ndo urudi jamvini tujadili.
Nawasilisha!!!!!
 
Je unaongea haya kwa mamlaka gani?na ni nani aliyekutuma ewe kizazi cha nyoka?
 
Back
Top Bottom