Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Wajameni,
Nimesoma "article" moja hivi karibuni ambayo mwandishi wake anasema watu wengi hatuendelei kwa kuwa tunang'ang'ania hali zetu za zamani. Anatoa mifano ya watu kupaka rangi nywele ili kuficha mvi, kunyoa nywele zote ili kuficha kipara, "plastic surgery" kuficha ngozi ya uzee n.k., n.k, n.k.
Mwandishi anadai kukubali mabadiliko ni mwanzo wa mtu kujitambua na kuendelea - ananukuu hadithi ya Bwana mmoja anaitwa Spencer Johnson inayoitwa "Who Moved My Cheese" (sitaki kurefusha bandiko, atakaehitaji kuisoma hiyo hadithi hata uki google utaipata -na kuna filamu yake pia). Kwa ufupi anasema mabadiliko hayakwepeki, kwa hiyo ni bora mtu ujipange namna ya Kuya -manage.
Maoni yako tafadhali.
Nimesoma "article" moja hivi karibuni ambayo mwandishi wake anasema watu wengi hatuendelei kwa kuwa tunang'ang'ania hali zetu za zamani. Anatoa mifano ya watu kupaka rangi nywele ili kuficha mvi, kunyoa nywele zote ili kuficha kipara, "plastic surgery" kuficha ngozi ya uzee n.k., n.k, n.k.
Mwandishi anadai kukubali mabadiliko ni mwanzo wa mtu kujitambua na kuendelea - ananukuu hadithi ya Bwana mmoja anaitwa Spencer Johnson inayoitwa "Who Moved My Cheese" (sitaki kurefusha bandiko, atakaehitaji kuisoma hiyo hadithi hata uki google utaipata -na kuna filamu yake pia). Kwa ufupi anasema mabadiliko hayakwepeki, kwa hiyo ni bora mtu ujipange namna ya Kuya -manage.
Maoni yako tafadhali.