asa anamkomoa nan,..kwa ufup ni kukosa elim tuu,hajui HIV viko aina zaid ya 4,na vyote vna character tofaut,so kadiri unavokua malaya,bado hao unaowafata na kufanya ngono zembe nao pia wamedhamiria kama wewe,so mnaambukizana n hav a variety of HIV virus ambao wanakua resistant to dawa,mwisho wa siku huchkui hata mwaka lamza tukuzike,..hujafanya research,nenda ambiance kaulize wale malaya wa pale watakwambia
wenzao wanakaaga mda gan toka maambukiz,ndo nadhan utaamin nachosema