hilo ndilo tatizo tunalojaribu kuwaelimisha wenzetu walioko uingereza ,marekani na dar es salaam kuwas ituation mnayoiona sio ukweli hata kidogo
siku moja nilisoma post ya jamaa mmoja akadai aliposhuka tu airport akafanya ka survey kadogo kwa kuuliza watu watamchagua nani kati ya jk na slaa, kisha akapata majibu kuwa wengi watampigia slaa then jamaa akaconcludde kuwa mwaka huu CCM kazi wanayo, bonafsi nilisoma post ile nikafarijika kuona watu wako optimstic ila ukweli eapoti sio vijijini jamani, hivi nyinyi tanganyika masagati umbali wa km 200 kutoka wilaya ya ifakara wanamjua slaa?mahali kusiko na aina yoyote ya miundombinu?mahali ambako dawa na vifaa hupelekwa baada ya miezi sita kwa ajili ya uduni wa miundombinu?
huku ndiko kwa kuanzia, pili ukienda na helikopta maeneo haya watu wanadai wewe hujui matatizo yetu ndo mana umekuja na helikopta, ungekuja kwa landcruiser au landrover wangeelewa kuwa umeona matatizo yao, so wanadai helikopta inakufanya usitambue matatizo yao
just piece of advice to chadema gaweni teams nyingi zifanye mikutano vijijini ikibidi nyumba kwa nyumba ,kwa maana vijijini ni rahisi nyumba kwa nyumba kaMA MNA TIMU ILIYOJIPANGA VIZURI