Na unlock moderm aina zote kwa 4000

Na unlock moderm aina zote kwa 4000

Smart Technician

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
653
Reaction score
826
NA unlock moderm kila aina tuma model na aina ya moderm bila kusahau ime number kwa buku4 tuu kwa uhakika zaidi utatuma kwanza imformation za moderm na tukifanya kazi utajulishwa ili kupata ulock code na jinsi ya kulipa .uaminifu na umakini ndio nguzo ya kazi zetu
 
kama hauna hela seme tuku anlock bure kwa promosheni sio unajidai unalete mikwara ya kijinga sawa mzee
 
kama hauna hela seme tuku anlock bure kwa promosheni sio unajidai unalete mikwara ya kijinga sawa mzee

hahahaha naona mkuu unakuja kwa mkwara mzito mpaka unatusi wenyeji wako na.magwiji wa shuguli hiyooo.

usipaniki sana mkuu hiyo huduma hapa huwa inatolewa buleee kabisa hutozwi hata mia hembu fanya kupitia nyuzi za wadau utapata majibu.

tena katika uchakachuzi wako huo kana aina ya modem utagonga mwamba.

wakuu naomba kwa kumuunga mkono na kuto mbeza na najua anahisi CHIEF MKWAWA kama kamtusi vile kuna zile modem vichaaa ambazo zimeahindikanika na ningum kuchakachua mpeni jamaa dili hilo.
akiweza basi tutakubaliana nae.

hiyo inaitwa mtoto akililia wembe mpeee
 
Last edited by a moderator:
hapa tuna unlock bure, na hela nenda jukwaa la matangazo

mkuu hivi kuna zile modem ambazo wadau washa sota nazo sana kuflush mwenye nayo angempa dili mshikaji.
maana naona kama anaspeed sana aiseee.
 
NA unlock moderm kila aina tuma model na aina ya moderm bila kusahau ime number kwa buku4 tuu kwa uhakika zaidi utatuma kwanza imformation za moderm na tukifanya kazi utajulishwa ili kupata ulock code na jinsi ya kulipa .uaminifu na umakini ndio nguzo ya kazi zetu
Mm nina Modem ya Smile ya 4G
na Franklin MiFi router ya Smile
Ntakupa 25,000/= kama uta unlock moja wapo mkuu

Pia nina Modem ya Huawei E303h-1(Hi-link) ya Airtel Kama unaweza chakachua na ukaiondolea hiyo feature ya Hilink ikawa ina connect kwa Dashboard ntakupa soko maana ninazo 10pcs niliingia nazo mkenge
 
mwanzisha mada inaonyesha na we unahitaji kua unlocked tutumia emei zako bas.....
 
Wakuu naombeni msaada wa ku unlock modem ya airtel (huawei) E173 IMEI 868860000738516
 
Nimekuwa nikipata changamoto juu ya moderm unlock na moderm upgrade hivi nini faida ya kuunlock moderm na pili naomba kujuzwa juu ya upgrade firmware inafaida gani katika moderm wataalamu tujuzeni. Jingine ninaloomba kujuzwa ni nini kati ya moderm na cm card kinacho detect aina ya network kama ni g,e,3g,h,h+ n.k mfano nimechukua cm card nimechomeka ktk moderm na network ya cm card iliyopo ni 3g je nilazima na moderm ninayotumia iwe ni 3g ndo moderm isome mtandao 3g? Au ilimladi network ni 3g ukichomeka ktk moderm yoyote itasoma 3g? Nijuzeni tafadharini.. karibu.
 
Nimekuwa nikipata changamoto juu ya moderm unlock na moderm upgrade hivi nini faida ya kuunlock moderm na pili naomba kujuzwa juu ya upgrade firmware inafaida gani katika moderm wataalamu tujuzeni. Jingine ninaloomba kujuzwa ni nini kati ya moderm na cm card kinacho detect aina ya network kama ni g,e,3g,h,h+ n.k mfano nimechukua cm card nimechomeka ktk moderm na network ya cm card iliyopo ni 3g je nilazima na moderm ninayotumia iwe ni 3g ndo moderm isome mtandao 3g? Au ilimladi network ni 3g ukichomeka ktk moderm yoyote itasoma 3g? Nijuzeni tafadharini.. karibu.
Hauwezi Ku Uliza Umuhimu wa ku Unlock Modem ni Bora uulize maana yake maana inaonesha haujui maana ya Ku Unlock Modem ndo maana unauliza Umuhimu

Makampuni Mengi ya mitandao ya Simu yanauza Modem yakiwa yamezifunga usiweze kuzitumia kwa mtandao wa Simu nyingine e.g Ukinunua Modem ya Halotel ukaweka Line ya Halotel ukiweka Line ya Airtel haitokubali mfano waweza ambiwa Uingize Unlock Code(kwa lugha nyepesi ni kama PIN Code) kuifungulia milango ya kupokea ya Line nyingine au Unaweza ambiwa Line Uliyoingiza Sio sahihi.

Mpaka hapo tumeona mitandao inachojaribu kufanya ni kutufungisha Ndoa ya Kikristo ili tutumie mtandao wao pekee au tununue Vifaa vingine vya mtandao mwingine.

Sasa Kwa kuwa watu hawapendi kuharibu hela wanatafuta Njia ya kuifanya hiyo Modem ilofungiwa kutumia mtandao mmoja iweze kutumia mitandao mingine na hapo ndo tunaita ku Unlock Modem.

Njia zinazotumika Ku Unlock ni :-

1)Kutumia Network Control Key(NCK) au waweza kuita Unlock Codes/Pin na hizi Pin unaombwa uziweke pale unapoingiza line ya Simu ya Kigeni.

2)Njia ya pili ni Kubadilisha Firmware/Ku downgrade au ku Upgrade Firmware

Firmware ni Kama Operating Software ya Modem hivo Lock inakua imewekwa humo,hivo ukibadilisha hiyo software/Customized Firmware na kuweka Software Universal iliyokuwa compatible na hiyo modem husika utakua umeondoa Lock.

3)Kubadilisha Dashboard ya Modem pia ni njia nyingine inayotumika kwa baadhi ya Modem za ZTE ambazo Lock haiwekwi kwenye Operating Software bali inawekwa kwenye Dashboard/ Customized Dashboard

Kuhusu 2G/3G hii inategemea na mahali unapoishi kama Minala imefungiwa vifaa vya 3G utapata 3G kwenye Modem yako au Simu yako iwapo nayo ina uwezo wa 3G.Bahati Mbaya Sijawai Kuona Modem ya 2G pekee tokea nizijue modem hivo modem zote za Kileo zina Support 3G japo katika Speed tofauti WCDMA/HSPA(H)/HSPA+(H+)/DC-HSPA+.

Njia rahisi ya kuhakikisha Modem yako haishiki 2G/EDGE/E kwa Modem za Huawei ni kwenda Tools>>>>>Options>>>>Network type kisha ukaondoa WCDMA prefered na kuweka WCDMA Only.

Ukiona mtandao Umepotea basi hilo eneo hamna 3G nenda Ofisi za karibu yako za Halotel waulize kama 3G ipo hilo eneo lako wakisema ipo nunua line yao utumie hiyo(Maana yake hapa acha kukalili na kung'ang'ana na mtandao mmoja) Halotel wame cover 3G almost 95% ya Tanzania

Line haisuki katika kusoma 3G labda kwenye Teknolojia ya 4G ndo mitandao ya simu inakudai ununue Line ya Simu ya 4G

Bila Shaka utakua umeelewa mpaka hapo
 
Nashukuru sana kiongozi Njunwa binafsi nilikuwa najua kuunlock ni kuweka custom rom nikama kuroot moderm kumbe sikuwa mbali sana. Kwahiyo nilijua niki unlock ndo nakuwa na uwezo wa ku upgrade firmware ambapo nilijua moderm kama nime upgrade firmware inaongeza uwezo kama ilikuwa inasoma 2g itakuwa inasoma 3g 4g nk. Nashukuru sana kaka kwa elimu hasa hapo kwenye kubadili network hapo.
Moderm yangu ni Huawei E173s-2 ya Vodacom kuna mtu alinipa
 
Back
Top Bottom