Na unlock moderm aina zote kwa 4000

Na unlock moderm aina zote kwa 4000

CDMA unaunlock vipi kaka? Utaunlock Huawei ZTE za network provders wengine ila sio moem za CDMA za Zantel au TTCL.
 
Mambo vipi wadau
Nimeamia pori network inasumbua naomba kuelekezwa jinsi ya kuifanya moderm itumie line zote mfano halotel na nyinginezo.
 
tumia dc unlocker ku unlock moderm, alafu badili dash board nyingine kama join air kuconnect internet
 
Modem inatumia tigo?? Itupe ina tabia mbaya.

On a serious note.
Taja aina ya modem na imei yake. Kwa uzoefu wangu ni rahisi sana ku-unlock zte modems online kushinda Huawei.
Ila kwakua hatuaminiani usitaje, nenda google search aina ya modem yako mfano "zte modem unlocker"

Ikija option ingia, aghalabu utakuta sehemu unaambiwa ingiza imei yako ili upewe passcodes za modem yako, utaingiza imei kisha utagewa hizo passcodes.

Utaweka laini ambayo haikutengenezwa kwa ajili ya huo mtandao, mfano utaweka ya Voda au Airtel, itakudai passcodes utaingiza zile ulizogewa, basi utakua umetatua tatizo.

Zingine siyo lazima uweke laini ya tofauti, kutegemea na aina ya modem.
 
Modem inatumia tigo?? Itupe ina tabia mbaya.

On a serious note.
Taja aina ya modem na imei yake. Kwa uzoefu wangu ni rahisi sana ku-unlock zte modems online kushinda Huawei.
Ila kwakua hatuaminiani usitaje, nenda google search aina ya modem yako mfano "zte modem unlocker"

Ikija option ingia, aghalabu utakuta sehemu unaambiwa ingiza imei yako ili upewe passcodes za modem yako, utaingiza imei kisha utagewa hizo passcodes.

Utaweka laini ambayo haikutengenezwa kwa ajili ya huo mtandao, mfano utaweka ya Voda au Airtel, itakudai passcodes utaingiza zile ulizogewa, basi utakua umetatua tatizo.

Zingine siyo lazima uweke laini ya tofauti, kutegemea na aina ya modem.
nzuri hii na vipi kuhusu simu pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom