Na ndiyo Maoni Yangu kuhusu Level ya Diploma

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Heshima kwenu wakuu!

Leo nimeamua kuja na maoni yangu Binafsi kuhusu wale wanaochaguliwa kujiunga na Diploma ya Kozi mbalimbali,Mimi binafsi sikubaliani na suala la Mtu alie Maliza KIDATO CHA NNE (4) kujiunga na ngazi la Diploma nasema hili nikiwa na hoja zangu na mtazamo wangu

Mfano kuna baadhi ya kozi za Afya kumchukua mtu alie maliza Form Four na kupeleka kusoma hizo kozi ni ubakaji wa Kozi haijalishi huyo mwanafunzi amefaulu vipi!

Mfano unamchukua mwanafunzi alie ishia Form Four na kumpeleka kusomea labda Diploma ya Pharmacy au Medicine,hiyo siyo sawa kabisa ukilinganisha na mambo anayo kwenda kusoma chuoni,kozi kama ya pharmacy kwanza mwanafunzi alie ishia kidato cha nne hana shule ya organic wala inorganic lazma atateseka kusoma na ndio mwanzo wa kupitisha watu wasio na sifa

Sijajua kwa kozi zingine za Arts wadau mtanisaidia lakini mimi ushauri wangu ni kuwa mtu atakaye kuwa anataka kusoma Diploma kwa baadhi ya Kozi iwe ni lazima kapitia kidato cha sita kwa masomo ya sayansi kama kozi ni ya afya na masomo ya arts kama kozi ni za arts

Kwa hapa Tanzania mtu alie fika Diploma au anae taka kwenda kusoma diploma watu huchukulia kirahisi sana kuliko uzito wa mambo anayo kwenda kukutana nayo huko

Angalia baadhi ya nnchi zilizo endelea mtu aliesoma Diploma wanavyo mtilia maanani! Sasa hapa mtu kafika Form Four Anataka kwenda kusoma Diploma ya Engineering hata physics haijui vizuri akifika chuo anabebwa bebwa kwa assignment za kucopy na kupaste mwisho wa siku kichwani hamna kitu

Imefika wakati nchi yetu ithamini elimu yetu kwa kubadiri baadhi ya taratibu iwe mtu anafika kidato cha sita ndo anaenda Diploma!

Kuna baadhi ya zahanati ukienda unaona kabisa HUYU C.O shule hamna!

Mfano South Africa kuna baadhi ya kozi kwa mtu alie pitia Diploma na Yule Fresh from school miaka ya kusoma inatofautiana sasa sisi hapa bongo ni ubabaishaji mtupu
 
Heshima kwenu wakuu!

Leo nimeamua kuja na maoni yangu Binafsi kuhusu wale wanaochaguliwa kujiunga na Diploma ya Kozi mbalimbali,Mimi binafsi sikubaliani na suala la Mtu alie Maliza KIDATO CHA NNE (4) kujiunga na ngazi la Diploma nasema hili nikiwa na hoja zangu na mtazamo wangu

Mfano kuna baadhi ya kozi za Afya kumchukua mtu alie maliza Form Four na kupeleka kusoma hizo kozi ni ubakaji wa Kozi haijalishi huyo mwanafunzi amefaulu vipi!

Mfano unamchukua mwanafunzi alie ishia Form Four na kumpeleka kusomea labda Diploma ya Pharmacy au Medicine,hiyo siyo sawa kabisa ukilinganisha na mambo anayo kwenda kusoma chuoni,kozi kama ya pharmacy kwanza mwanafunzi alie ishia kidato cha nne hana shule ya organic wala inorganic lazma atateseka kusoma na ndio mwanzo wa kupitisha watu wasio na sifa

Sijajua kwa kozi zingine za Arts wadau mtanisaidia lakini mimi ushauri wangu ni kuwa mtu atakaye kuwa anataka kusoma Diploma kwa baadhi ya Kozi iwe ni lazima kapitia kidato cha sita kwa masomo ya sayansi kama kozi ni ya afya na masomo ya arts kama kozi ni za arts

Kwa hapa Tanzania mtu alie fika Diploma au anae taka kwenda kusoma diploma watu huchukulia kirahisi sana kuliko uzito wa mambo anayo kwenda kukutana nayo huko

Angalia baadhi ya nnchi zilizo endelea mtu aliesoma Diploma wanavyo mtilia maanani! Sasa hapa mtu kafika Form Four Anataka kwenda kusoma Diploma ya Engineering hata physics haijui vizuri akifika chuo anabebwa bebwa kwa assignment za kucopy na kupaste mwisho wa siku kichwani hamna kitu

Imefika wakati nchi yetu ithamini elimu yetu kwa kubadiri baadhi ya taratibu iwe mtu anafika kidato cha sita ndo anaenda Diploma!

Kuna baadhi ya zahanati ukienda unaona kabisa HUYU C.O shule hamna!

Mfano South Africa kuna baadhi ya kozi kwa mtu alie pitia Diploma na Yule Fresh from school miaka ya kusoma inatofautiana sasa sisi hapa bongo ni ubabaishaji mtupu
Dit sijaona tofaut ya alietokea form four na wa form six,na Best performers weng ni waliotokea form four
 
Kwa elimu yetu kupita form6 ni kuzunguka sana maama haina uhakika ukifel unatumia chet cha form4 kuomba chuo kwa ngaz ya diploma 2years umepoteza bure,,
Uoga huo mkuu. Badala yankufikiri ukifaulu unatokezea wapi we unawaza kufeli tu! Vilaza bhana!,
 
Ndomana reform ya mtaala was elimu unahitajika haraka,maana mfumo tulionao no uleule toka kipindi cha mwalim sasa tulichokifanya ni kuedit edit tu!! Zamani kulikuwa na shule za ufundi sasa imagine mwanafunzi anaetoka hapo na form 4 kajifunza vizuri uashi au umeme lazima atakuwa bora tu huko chuoni,pia tuondoe elimu yetu katika nadhalia twende kwenye mafunzo ya vitendo sio tofauti ya alive copy na kupaste assogment na form six aliepita kwa kukrem
 
Uoga huo mkuu. Badala yankufikiri ukifaulu unatokezea wapi we unawaza kufeli tu! Vilaza bhana!,
Diploma za afya ni 3 years mi namaliza ww unakuja kuanza na nakua na option niendelee na Degree or nipige kaz kwanza? Ww unakuja mtaan kutafuta kaz mimi life nishaanza kitambo kujitegemea na nasoma huku nalipwa mshahara
Siwez kumshaur kwenda 5 na six kucheza bahat nasibu watu wanaenda form5 na one ya saba anatoka na four options nzur ni kuanza na chuo mimi nimepita 5 na 6 baada ya matokeo kutoka na kuanza kufanya application za vyuo diploma ndio nikagundua nilpoteza muda
 
Diploma za afya ni 3 years mi namaliza ww unakuja kuanza na nakua na option niendelee na Degree or nipige kaz kwanza? Ww unakuja mtaan kutafuta kaz mimi life nishaanza kitambo kujitegemea na nasoma huku nalipwa mshahara
Siwez kumshaur kwenda 5 na six kucheza bahat nasibu watu wanaenda form5 na one ya saba anatoka na four options nzur ni kuanza na chuo mimi nimepita 5 na 6 baada ya matokeo kutoka na kuanza kufanya application za vyuo diploma ndio nikagundua nilpoteza muda
Kwani wa degree haajiliwi? Au anaajiliwa wa diploma tu?
 
Kwani wa degree haajiliwi? Au anaajiliwa wa diploma tu?
Naona hujanielewa kwan degree ya miaka mingap? Mfno Md? Hapa nazungumzia eli 2yeas 5 na 6 ww unakuja kuanza chuo first year mim namalizia 3rd years ya diploma na wote tumemalza form four ila ww ukaenda 5 na six mm nikaenda chuo
 
ipo hivi
A na B wahitimu wa iv sayansi wote wamefahuru...division 1(distinction).
A kaamua kwenda chuo kuanza diploma ya uhandisi...
B kaamua kwenda A level kuanza kidato cha vi.

A anamaliza diploma kamili ya uhandisi ambapo GP yake TENA ya juu inamruhusu kusoma UDSM shahada ya uhandisi.
B anamaliza vi na kuendelea chuo. Anasomea shahada ya uhandisi.

A na B wote wanafuzi wanaosomea uhandisi UDSM. Lakin A ana nafasi kubwa ya kupata ajira kuliko B kutokana na cheti chake professional yaani ana fani ya uhandisi.

B hawezi kupata kazi au akipata basi kwa tabu sana kutokana na cheti chake cha A-level sio professional yaani hakina ujuzi.

Kwa hiyo hapo serikali hawajaona ulazima wa kusoma vi ndo uanze diploma, hapo serikali hawajaona utofauti wowote ndo maana wakaamua kama umefahuru iv unaweza ukasomea diploma na ukatoka complete tena uliyeiva.
 
ipo hivi
A na B wahitimu wa iv sayansi wote wamefahuru...division 1(distinction).
A kaamua kwenda chuo kuanza diploma ya uhandisi...
B kaamua kwenda A level kuanza kidato cha vi.

A anamaliza diploma kamili ya uhandisi ambapo GP yake TENA ya juu inamruhusu kusoma UDSM shahada ya uhandisi.
B anamaliza vi na kuendelea chuo. Anasomea shahada ya uhandisi.

A na B wote wanafuzi wanaosomea uhandisi UDSM. Lakin A ana nafasi kubwa ya kupata ajira kuliko B kutokana na cheti chake professional yaani ana fani ya uhandisi.

B hawezi kupata kazi au akipata basi kwa tabu sana kutokana na cheti chake cha A-level sio professional yaani hakina ujuzi.

Kwa hiyo hapo serikali hawajaona ulazima wa kusoma vi ndo uanze diploma, hapo serikali hawajaona utofauti wowote ndo maana wakaamua kama umefahuru iv unaweza ukasomea diploma na ukatoka complete tena uliyeiva.
Hapo sawa mkuu,,,,kwakuwa vijana sikuhiz wanamalza form4 na 16,17,,18 age sio mbaya acha waende tu 5 na six wakakue maana mtu anahitmu degree ya medicine ana 24,,26 hatari sana huko mawordn mfno Maternity word (Labour word)
 
wewe danya umezoea sana kukariri.mimi napiga diploma nipo mwaka 2,nimemaliza form iv 2013 pale kibaha sec nilitoka na div 1:12 (distinction) nikakataa kwenda advance nikaamua kwenda chuo.huku chuo nimekutana na hao form 6 fresh from school unaowasifia,tangu tunaanza masomo mpka sasa hivi ninawakimbiza ile mbaya kuanzia darasan mpka wodini.% kubwa hapa chuo form 4 ndio wanaoperform vizur kuliko form 6.
hoja yako ya kuwadharau form 4 ni dhaifu sana kaka,akili ya mtu ipo kichwani sio kuangalia kidato.
nikupe mfano mwaka jana kulikuwa kuna jamaa form 4 alipata div iv:28 masomo ya scienc alipata wastan wa D,akaja kuanza ngazi ya certficate aliwakimbiza sana hao form 6 wako alipiga GPA 4.6 kaweka rekodi ya kupiga GPA kubwa hapa chuo.
diploma inategemea kichwa cha mtu sio kuangalia kidato
 
Kwa taarifa yako mtoa mada upuuz huu wa form 6 upo tanzania tu,alafu kwani ukienda form 6o ndo akili inaongezeka? Stupid,ungesema kua viwango vya kujiunga na diploma etc viwe competent ntakuelewa sio watu wasiende diploma
 
Danya hoja yako haina mashiko Kwa maana mtu bora aingie kusomea fani mapema kuliko kuendelea na msururu wa kukalili ma vitu hivi mtu wa Pcm na Diploma mfano ktk engineering nani atakuwa poa kazini? Mtu anaejifunza kazi miaka 4 na wa miaka 6 yupi bora? mtu tangu form one anagonga nyundo technical school utamfananisha na huyu fresh from school? engineering is all about practical activities ,Madesa yatakusandisha site tu
 
Heshima kwenu wakuu!

Leo nimeamua kuja na maoni yangu Binafsi kuhusu wale wanaochaguliwa kujiunga na Diploma ya Kozi mbalimbali,Mimi binafsi sikubaliani na suala la Mtu alie Maliza KIDATO CHA NNE (4) kujiunga na ngazi la Diploma nasema hili nikiwa na hoja zangu na mtazamo wangu

Mfano kuna baadhi ya kozi za Afya kumchukua mtu alie maliza Form Four na kupeleka kusoma hizo kozi ni ubakaji wa Kozi haijalishi huyo mwanafunzi amefaulu vipi!

Mfano unamchukua mwanafunzi alie ishia Form Four na kumpeleka kusomea labda Diploma ya Pharmacy au Medicine,hiyo siyo sawa kabisa ukilinganisha na mambo anayo kwenda kusoma chuoni,kozi kama ya pharmacy kwanza mwanafunzi alie ishia kidato cha nne hana shule ya organic wala inorganic lazma atateseka kusoma na ndio mwanzo wa kupitisha watu wasio na sifa

Sijajua kwa kozi zingine za Arts wadau mtanisaidia lakini mimi ushauri wangu ni kuwa mtu atakaye kuwa anataka kusoma Diploma kwa baadhi ya Kozi iwe ni lazima kapitia kidato cha sita kwa masomo ya sayansi kama kozi ni ya afya na masomo ya arts kama kozi ni za arts

Kwa hapa Tanzania mtu alie fika Diploma au anae taka kwenda kusoma diploma watu huchukulia kirahisi sana kuliko uzito wa mambo anayo kwenda kukutana nayo huko

Angalia baadhi ya nnchi zilizo endelea mtu aliesoma Diploma wanavyo mtilia maanani! Sasa hapa mtu kafika Form Four Anataka kwenda kusoma Diploma ya Engineering hata physics haijui vizuri akifika chuo anabebwa bebwa kwa assignment za kucopy na kupaste mwisho wa siku kichwani hamna kitu

Imefika wakati nchi yetu ithamini elimu yetu kwa kubadiri baadhi ya taratibu iwe mtu anafika kidato cha sita ndo anaenda Diploma!

Kuna baadhi ya zahanati ukienda unaona kabisa HUYU C.O shule hamna!

Mfano South Africa kuna baadhi ya kozi kwa mtu alie pitia Diploma na Yule Fresh from school miaka ya kusoma inatofautiana sasa sisi hapa bongo ni ubabaishaji mtupu
Vp experience yako ya Radiography
 
Naona hujanielewa kwan degree ya miaka mingap? Mfno Md? Hapa nazungumzia eli 2yeas 5 na 6 ww unakuja kuanza chuo first year mim namalizia 3rd years ya diploma na wote tumemalza form four ila ww ukaenda 5 na six mm nikaenda chuo
Na ukimaliza diploma we hautasoma degree? Au ndoto zako kielimu wewe ni diploma mkuu?
 
Heshima kwenu wakuu!

Leo nimeamua kuja na maoni yangu Binafsi kuhusu wale wanaochaguliwa kujiunga na Diploma ya Kozi mbalimbali,Mimi binafsi sikubaliani na suala la Mtu alie Maliza KIDATO CHA NNE (4) kujiunga na ngazi la Diploma nasema hili nikiwa na hoja zangu na mtazamo wangu

Mfano kuna baadhi ya kozi za Afya kumchukua mtu alie maliza Form Four na kupeleka kusoma hizo kozi ni ubakaji wa Kozi haijalishi huyo mwanafunzi amefaulu vipi!

Mfano unamchukua mwanafunzi alie ishia Form Four na kumpeleka kusomea labda Diploma ya Pharmacy au Medicine,hiyo siyo sawa kabisa ukilinganisha na mambo anayo kwenda kusoma chuoni,kozi kama ya pharmacy kwanza mwanafunzi alie ishia kidato cha nne hana shule ya organic wala inorganic lazma atateseka kusoma na ndio mwanzo wa kupitisha watu wasio na sifa

Sijajua kwa kozi zingine za Arts wadau mtanisaidia lakini mimi ushauri wangu ni kuwa mtu atakaye kuwa anataka kusoma Diploma kwa baadhi ya Kozi iwe ni lazima kapitia kidato cha sita kwa masomo ya sayansi kama kozi ni ya afya na masomo ya arts kama kozi ni za arts

Kwa hapa Tanzania mtu alie fika Diploma au anae taka kwenda kusoma diploma watu huchukulia kirahisi sana kuliko uzito wa mambo anayo kwenda kukutana nayo huko

Angalia baadhi ya nnchi zilizo endelea mtu aliesoma Diploma wanavyo mtilia maanani! Sasa hapa mtu kafika Form Four Anataka kwenda kusoma Diploma ya Engineering hata physics haijui vizuri akifika chuo anabebwa bebwa kwa assignment za kucopy na kupaste mwisho wa siku kichwani hamna kitu

Imefika wakati nchi yetu ithamini elimu yetu kwa kubadiri baadhi ya taratibu iwe mtu anafika kidato cha sita ndo anaenda Diploma!

Kuna baadhi ya zahanati ukienda unaona kabisa HUYU C.O shule hamna!

Mfano South Africa kuna baadhi ya kozi kwa mtu alie pitia Diploma na Yule Fresh from school miaka ya kusoma inatofautiana sasa sisi hapa bongo ni ubabaishaji mtupu

uliza sababu za muhimbili kuchukua diploma za famas na co kusoma.degree, wao.walijifanya wanataka.fresh.students from school, ukijua ndo.utajua serikali wana.akili.sana kuweka.hizo diploma
 
wewe danya umezoea sana kukariri.mimi napiga diploma nipo mwaka 2,nimemaliza form iv 2013 pale kibaha sec nilitoka na div 1:12 (distinction) nikakataa kwenda advance nikaamua kwenda chuo.huku chuo nimekutana na hao form 6 fresh from school unaowasifia,tangu tunaanza masomo mpka sasa hivi ninawakimbiza ile mbaya kuanzia darasan mpka wodini.% kubwa hapa chuo form 4 ndio wanaoperform vizur kuliko form 6.
hoja yako ya kuwadharau form 4 ni dhaifu sana kaka,akili ya mtu ipo kichwani sio kuangalia kidato.
nikupe mfano mwaka jana kulikuwa kuna jamaa form 4 alipata div iv:28 masomo ya scienc alipata wastan wa D,akaja kuanza ngazi ya certficate aliwakimbiza sana hao form 6 wako alipiga GPA 4.6 kaweka rekodi ya kupiga GPA kubwa hapa chuo.
diploma inategemea kichwa cha mtu sio kuangalia kidato

akipita hapa ajiulize na kwann muhimbil wameanza kuchukua diploma
 
Uoga huo mkuu. Badala yankufikiri ukifaulu unatokezea wapi we unawaza kufeli tu! Vilaza bhana!,
Ufaulu six af usome diploma si ujinga huo kubal au ukatae form six wanaosoma diploma wote huwa wamefeli
 
Hapo sawa mkuu,,,,kwakuwa vijana sikuhiz wanamalza form4 na 16,17,,18 age sio mbaya acha waende tu 5 na six wakakue maana mtu anahitmu degree ya medicine ana 24,,26 hatari sana huko mawordn mfno Maternity word (Labour word)
UMESHAWAONA MADAKTARI BINGWA NA MAINGENEERING WA ULAYA MIAKA YAO?
 
INCHI ZILIZOENDELEA HAWANA MILOLONGO MIREFU YA KUSOMA UNAKUTA KUNA DARASA 1 HADI 5 ,SECONDARY 3 YEARS, COLLEGE 3 YEAR,DEGREE 3 YEARS AND PRACTICLE 3 YEARS
NDO MAANA UNAKUTA ULAYA MTU ANA MIAKA 18 DEGREE HOLDER NA YUKO VIZURI SANA
 
Back
Top Bottom