mmmmmmhhh Chokambovu,hata kama huwezi kusoma gazeti hata kuangalia picha?Mwanamke keshakupasulia wazi anataka kulipa kisasi,kisasi gani zaidi ya kutoa mzigo? Embu tuwe straight forward, hapa kuna kaharufu ka cheating,issue ni kwamba mtoa mada ale au asile mke wa mtu?Binafsi hii ngoma mimi nisingeiacha ningejipigia tu maana ni kama zali tu limemdondokea mtoa mada kesho mdada anaweza kubadili mawazo ikabakia 'ningejua',e bana e kamata hiyo kitu.Jamani huyo anaomba ushauri kwa mtu ambaye anamfahamu na ana imani naye kwamba anaweza kumsaidia, hivi watanzania tumelogwa maana mawazo yetu yote ni kwenye ngono, mwanamke akiwa karibu na mwanamme demu wake. Mwanamme akiwa karibu na mwanamke ooh.... ni buzi lake, tushindwe kuombana msaada wa kimawazo kisa tu huyu mwanamke na mwingine mwanamme? TUACHENI HIZO MPENI MWENZETU USHAURI NAMNA YA KUOKOA NDOA YAKE
Mke wa mtu sumu
Ale mzigo tu asiogope atakunywa MAZIWA kuondoa SUMU.
Acha kumpoteza kijana popo sumu nyingine ata maziwa hayasaidii kitu