Maana unatafuta mwanamme jf?? Unajuaje uaminifu wake ? Utamchunguzaje? Unavigezo gani vinavyo kuongoza kumpata alie bora? Na je wewe unavifikia hivyo vigezo? Haya nakutia moyo endelea but its not safe at all if unamaanisha kweli unataka kuolewa.
Unadhan wanawake wenzio wote walio olewa walipost mitandaoni hivi? Wenzio walikua wanajieshim na heshima ndio maana wameolewa... uko mtaan kwenu hakuna waoaji? Nadhan tabia zako aziridhishi ndio maana uolewi
Unadhan wanawake wenzio wote walio olewa walipost mitandaoni hivi? Wenzio walikua wanajieshim na heshima ndio maana wameolewa... uko mtaan kwenu hakuna waoaji? Nadhan tabia zako aziridhishi ndio maana uolewi