Na huyu kaamua kuolewa na mwanasesere wake

Sister Abigail

JF-Expert Member
Sep 2, 2020
2,763
8,694
Baada ya yule alieamua kuolewa na nani na mimba kambebea,mtoto kamzalia,mwingine huyu kaamua kuolewa na mwanasesere wake alishonwa Kwa matambaa,huyu alishonewa na mamake zamani,kama muonavyo hapo ndoa inafungwa na ndugu wamehudhuria,bwana alijibu vipi kiapo sijui.
Wako bafuni wanaoga wote,akamzalia watoto wa kufanana nae,
Picha nyinge bamjengo nakiwa kalala kwenye kochi kajipumzisha
Nyingine wakiwa out
Nyingine wakifurahia mtoto wao mwingine
Kubwa zaidi ni ndugu na marafiki wako very supportive wakiwa picha ya pamoja kusherekea basdei ya mume wa mwenzao.

Hii Dunia tunakoenda..🖐️
 

Attachments

  • 1728844195915.jpg
    1728844195915.jpg
    290.2 KB · Views: 5
  • 1728844206700.jpg
    1728844206700.jpg
    236.6 KB · Views: 6
  • 1728844212089.jpg
    1728844212089.jpg
    276 KB · Views: 5
  • 1728844219781.jpg
    1728844219781.jpg
    345.7 KB · Views: 5
  • 1728844226405.jpg
    1728844226405.jpg
    279.4 KB · Views: 5
  • 1728844237270.jpg
    1728844237270.jpg
    375.5 KB · Views: 5
  • 1728844244234.jpg
    1728844244234.jpg
    244.7 KB · Views: 5
  • 1728844251150.jpg
    1728844251150.jpg
    104.3 KB · Views: 5
  • 1728844256455.jpg
    1728844256455.jpg
    342.7 KB · Views: 5
Baada ya yule alieamua kuolewa na nani na mimba kambebea,mtoto kamzalia,mwingine huyu kaamua kuolewa na mwanasesere wake alishonwa Kwa matambaa,huyu alishonewa na mamake zamani,kama muonavyo hapo ndoa inafungwa na ndugu wamehudhuria,bwana alijibu vipi kiapo sijui.
Wako bafuni wanaoga wote,akamzalia watoto wa kufanana nae,
Picha nyinge bamjengo nakiwa kalala kwenye kochi kajipumzisha
Nyingine wakiwa out
Nyingine wakifurahia mtoto wao mwingine
Kubwa zaidi ni ndugu na marafiki wako very supportive wakiwa picha ya pamoja kusherekea basdei ya mume wa mwenzao.

Hii Dunia tunakoenda..🖐️
Yule mwingine alijioa mwenyewe ila wakaja kuachana
 
Baada ya yule alieamua kuolewa na nani na mimba kambebea,mtoto kamzalia,mwingine huyu kaamua kuolewa na mwanasesere wake alishonwa Kwa matambaa,huyu alishonewa na mamake zamani,kama muonavyo hapo ndoa inafungwa na ndugu wamehudhuria,bwana alijibu vipi kiapo sijui.
Wako bafuni wanaoga wote,akamzalia watoto wa kufanana nae,
Picha nyinge bamjengo nakiwa kalala kwenye kochi kajipumzisha
Nyingine wakiwa out
Nyingine wakifurahia mtoto wao mwingine
Kubwa zaidi ni ndugu na marafiki wako very supportive wakiwa picha ya pamoja kusherekea basdei ya mume wa mwenzao.

Hii Dunia tunakoenda..🖐️
Ngoja Niludie Kusoma tena.
 
Hawa ndio wale wanawake wakiwa kwenye prime age zao wanakwambia my body my everything I don't need a Man.

Dakika za jioniiiiii, Alarm zikilia wanakuta manyoya tu.

Wanashtuka hakuna anaye wataka tena.
Hilo ni tatizo la akili sio kukosa mme
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom