Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,763
- 8,694
Baada ya yule alieamua kuolewa na nani na mimba kambebea,mtoto kamzalia,mwingine huyu kaamua kuolewa na mwanasesere wake alishonwa Kwa matambaa,huyu alishonewa na mamake zamani,kama muonavyo hapo ndoa inafungwa na ndugu wamehudhuria,bwana alijibu vipi kiapo sijui.
Wako bafuni wanaoga wote,akamzalia watoto wa kufanana nae,
Picha nyinge bamjengo nakiwa kalala kwenye kochi kajipumzisha
Nyingine wakiwa out
Nyingine wakifurahia mtoto wao mwingine
Kubwa zaidi ni ndugu na marafiki wako very supportive wakiwa picha ya pamoja kusherekea basdei ya mume wa mwenzao.
Hii Dunia tunakoenda..🖐️
Wako bafuni wanaoga wote,akamzalia watoto wa kufanana nae,
Picha nyinge bamjengo nakiwa kalala kwenye kochi kajipumzisha
Nyingine wakiwa out
Nyingine wakifurahia mtoto wao mwingine
Kubwa zaidi ni ndugu na marafiki wako very supportive wakiwa picha ya pamoja kusherekea basdei ya mume wa mwenzao.
Hii Dunia tunakoenda..🖐️
Attachments
-
1728844195915.jpg290.2 KB · Views: 5
-
1728844206700.jpg236.6 KB · Views: 6
-
1728844212089.jpg276 KB · Views: 5
-
1728844219781.jpg345.7 KB · Views: 5
-
1728844226405.jpg279.4 KB · Views: 5
-
1728844237270.jpg375.5 KB · Views: 5
-
1728844244234.jpg244.7 KB · Views: 5
-
1728844251150.jpg104.3 KB · Views: 5
-
1728844256455.jpg342.7 KB · Views: 5