N.I.T washindwa kutoa vyeti vya degree

N.I.T washindwa kutoa vyeti vya degree

Mkuu ulitaka kiweje ndio kiwe kikuu??
Kama sekondari ya mazengo imeweA kuwa chuo why NIT
NIT kuna degree 12 na diploma zaidi ya 15 na Masters science 1 na masters ya kawaida 1 na pia kuna Postigraduate diploma zaid ya 5.
Karibu NIT
Ungejibu hoja bila kuingiza chuo kingine ingependeza zaidi ...
Kuchukua mapungufu ya chuo kimoja ili yahalalishe mapungufu ya chuo chako si vyema maana kila mnyonge ana mnyonge wake

Ulivyomuelewesha ilitosha kabisa
 
Ni NIT Ni Chuo kikuu ? Ninashngaa Sana kuiba degree zinatolewa kila mahali kama njugu? Hii SI kile Chuo nilisikia walimu wanataka ngono ili kufaulisha? Leo mnataka tena degree? Mkipewa mnaipeleka wapi? Soko pa ajira haliko hivyo kwa awamu hii.asubuhi njema
Acha ushamba Boss
 
Back
Top Bottom