Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,689
- 64,709
Salamu sana wana bodi.
Ninaleta huu uzi Kwa masikitiko makubwa. Vijana wamehitimu degree yao Chuo cha usafirishaji cha taifa tokea mwaka jana mwezi wa nane.
Kipindi chote hiki kimekuwa ni cha kwenda rudi kutaka transcript au vyeti. Kila RAIA anajuwa baada ya Chuo ni hatua nyingine aidha ya kutafuta ajira au ya kuendelea na masomo. Hii ni tofauti na hiki Chuo
Hatujui ni nini kimetokea mpaka vyeti vimeshindikana kutolewa.
Mahafali yamefanyika January hii. Tena ni mahafali ya kivivu mno. Tumezoea kuona kila mhitimu akiitwa Mbele kwa jina kushikwa mkono wa hongera. Hiki Chuo kiliita majina Kwa mafungu. Hamkuwatendea haki watoto wetu. Huu ni uvivu au kukwepa wajibu. Joho limekodiwa Kwa elfu hamsini halafu mnaita watoto Kwa mafungu sikuipenda hii.
Kila mtanzania anatakiwa kwenda na kasi ya Rais wetu mpendwa ya Tanzania ya Viwanda. Jipangeni.
Ndimi Mzazi.
Ninaleta huu uzi Kwa masikitiko makubwa. Vijana wamehitimu degree yao Chuo cha usafirishaji cha taifa tokea mwaka jana mwezi wa nane.
Kipindi chote hiki kimekuwa ni cha kwenda rudi kutaka transcript au vyeti. Kila RAIA anajuwa baada ya Chuo ni hatua nyingine aidha ya kutafuta ajira au ya kuendelea na masomo. Hii ni tofauti na hiki Chuo
Hatujui ni nini kimetokea mpaka vyeti vimeshindikana kutolewa.
Mahafali yamefanyika January hii. Tena ni mahafali ya kivivu mno. Tumezoea kuona kila mhitimu akiitwa Mbele kwa jina kushikwa mkono wa hongera. Hiki Chuo kiliita majina Kwa mafungu. Hamkuwatendea haki watoto wetu. Huu ni uvivu au kukwepa wajibu. Joho limekodiwa Kwa elfu hamsini halafu mnaita watoto Kwa mafungu sikuipenda hii.
Kila mtanzania anatakiwa kwenda na kasi ya Rais wetu mpendwa ya Tanzania ya Viwanda. Jipangeni.
Ndimi Mzazi.