Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,169
Tangu zamani tumekuwa tukitumia vocha na vocha ni codes. Tangu nimiliki simu ni miaka 10+ now na nimejarbu kubashiri lakini nimekosa.
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2. kwani haziishi?
3. Ni kweli kama zinasafirishwa kwa umbali mrefu zina kuwa locked? I mean kama zimeibwa zisiweze kutumika?
4. je ikitokea codes kuisha, nini hufanyika?
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2. kwani haziishi?
3. Ni kweli kama zinasafirishwa kwa umbali mrefu zina kuwa locked? I mean kama zimeibwa zisiweze kutumika?
4. je ikitokea codes kuisha, nini hufanyika?