msakhara
JF-Expert Member
- May 26, 2019
- 297
- 405
Maisha ya mtanzania wa kawaida yamekua na mzunguko unaoelekeana sana. Anazaliwa, anakua, anasoma, anapata kazi/biashara, anaoa (anaanza kulalamika majukumu mengi ya familia, anahangaika na kipato na kumridhisha mke na watoto). Anasomesha, anazeeka, anaanza kuwategemea watoto wake.
Swali huwa nnajiuliza, ni kweli tuliumbwa ili tufwate cycle fupi namna hii? Furaha ya wanaume wengi hupungua miaka kadhaa baada ya kuoa na kuwa na familia, je kunaumuhimu gani wa mzunguko huu?
Mwanaume anasomeshwa na kulelewa kwa nguvu mzunguko wake unampelekea kwa mwanamke anayeamini mwanaume bila fedha si mtu na baadaye watoto wanaoamini baba yao ni insignificant. Mwanamke anasomeshwa kwa nguvu huku akiaminishwa yy ni mtegemezi by nature.
Je, tuliumbwa tuifwate hii cycle au tunajiweka wenyewe?
Swali huwa nnajiuliza, ni kweli tuliumbwa ili tufwate cycle fupi namna hii? Furaha ya wanaume wengi hupungua miaka kadhaa baada ya kuoa na kuwa na familia, je kunaumuhimu gani wa mzunguko huu?
Mwanaume anasomeshwa na kulelewa kwa nguvu mzunguko wake unampelekea kwa mwanamke anayeamini mwanaume bila fedha si mtu na baadaye watoto wanaoamini baba yao ni insignificant. Mwanamke anasomeshwa kwa nguvu huku akiaminishwa yy ni mtegemezi by nature.
Je, tuliumbwa tuifwate hii cycle au tunajiweka wenyewe?
...