Maswali magumu....Funguka mkuu...
Uko sahihi dunia inazunguka pamoja na atmosphere yake...ndo maana eneo moja mvua inayesha hata masaa 24!!Huhisi mzunguko huu kwa sababu kila kitu kwenye uso wa dunia, pamoja na atmosphere, vinazunguka kwa mwendo huu.
Chukulia mfano wa sisimizi aliye katika gari linaloenda kasi. Sisimizi anakuwa na "kinetic energy" ya gari, na kama gari linaenda 90 km/hr, madirisha yamefungwa, hata hewa iliyo katika gari inakwenda kwa speed hiyo na sisimizi anakuwa hajui kwamba gari lina mwendo
Sasa wewe na dunia unakuwa mdogo mara nyingi sana zaidi ya sisimizi alivyo ndogo kwa gari.
Ndege haijatoka duniani bado, ipo katika atmosphere inayozunguka na mwendo wa dunia. Mfano mzuri wa kuona dunia inavyozunguka ni kwenda kwenye satellite zilizotoka nje ya atmpsphere ya dunia na zinazoweza kuiona dunia kwa mbali. Mfano ni "International Space Station"
Swali lina assume ndege imetoka nje ya dunia. Tumeona hapo juu kwamba hewa ya dunia ni sehemu ya dunia na ndege haitoki nje ya dunia.
Again, ndege yenyewe ipo katika dunia na inasukumwa na speed ya dunia. Ni sawa na wewe ukae nyuma kwenye pickup, halafu pickup iwe inaenda kasi, halafu uchukue kitenesi na kukirusha juu kidogo halafu ujaribu kukidaka. Unaweza kufikiri kwamba kitenesi kitadondoka nje, lakini kama hakuna upepo na hujakirusha juu sana utaweza kukidaka kama mtu ambaye kasimama, kwa sababu wewe, gari na kitenesi wote mna kinetic energy.
Ndege haitoki nje ya dunia, hivyo ni sehemu ya vyote vinavyokuwa moved na dunia vilivyo ndani ya dunia.
Nimejibu kutoka kichwani tu sijaangalia reference book kama nimekosea tujadili.
Mkuu nimeanza kukuelewa.Nime edit jibu langu kama ukisoma tena utaona, upepo tunaouzungumzia ni high altitude wind kwaio unafanya push effect kwenye ndege na athari yake ndo kama io kuwahi kufika mapema west-east na kuchelewa kufika east-west. Io issue ya earth spin ina concept ngumu ngumu kama za Quantum physics ila kijuu juu ni spinning away and spinning towards concepts.
Ka kuna mtu anaweza kuieleza vizuri kwa kiswahili itakua vizuri, me nashindwa kueleza kwa kiswahili.
Hili haliwezi kuthibitisha kwasababu kuna mvua zinanyesha kwa kuhama/kutembea. Unaweza kushangaaa mvua ipo mombasa mara muda huo huo imehamia chanika.Uko sahihi dunia inazunguka pamoja na atmosphere yake...ndo maana eneo moja mvua inayesha hata masaa 24!!
Sometimes ni swala la maamuzi tu ili maisha yaende kirhisi.....Kumbe mkuu hayo masaa 24 ni baada ya approximation........
Sasa haya masaa 24 huku duniani tumeyatoa wapi?
Brave quest. Je ni kweli speed ya mawingu ndiyo kali kuliko hii ya dunia? itabidi hii point yako niongezee nyama huko mwanzoni mkuu.Km dunia inatembea pamoja na atmosphere yake inakuaje tunaona mawingu yanamove in different directions in different time
2. Tunasema dunia inajizungusha kwenye mhimili wake (earth's axis). Hii inamaana kunapoint fulani ya dunia ni north &south hazizunguki....swali langu ni kutaka kujua physically hizo point ziko sehemu gani kwenye uso wa dunia?
Sina tofauti kubwa na mdau, sababu hakuna official concept iliochukuliwa kati ya izo mbili mpaka sasa, bado ni study inayofanyiwa uchunguzi.Mkuu nimeanza kukuelewa.
Ni Kama upo kwenye ndege au gari ukimiminiwa juice au maji hayawezi kumwagika kwasababu wewe anayekuwekea..Maji na glass wote mpo katika speed moja. Hadi hapo sawa.
Kama mdau alivyosema atmosphere na earth zinaspeed tofauti kutokana na ingredients tofauti ndani yao je unaliongele aje hil? Speed ni moja au tofauti? Kama ni moja kwanini iwe hivyo na wakati ingredients ni tofauti?
Poa poa mkuu....Sina tofauti kubwa na mdau, sababu hakuna official concept iliochukuliwa kati ya izo mbili mpaka sasa, bado ni study inayofanyiwa uchunguzi.
Tunaweza kusema hakuna speed sawa kwa ushahidi tunaouona kwenye Ionospheric motion kwamba charged particles zilizojuu zaidi angani hazi shei mwendo sawa na neutral particles zilizo kwenye atmosphere ya chini.
na pia tunaweza sema kuna speed sawa kwa sababu kuna imani kwenye research zilizofanyika kuwa, umbali wa kufikia 500km speed iko sawa kutokana na viscocity effect pamoja na charged particles again,
Kwaio utaona kuna mchanganyiko tofauti tofauti kwenye atmosphere unaosababisha mwendo sawa au tofauti lakini kwa sababu tofaut ni negligible basi utofauti uo uwa unaondolewa na pressure gradients.
Swali rahisi sana izo point ziko north pole and south pole. kwa mfano upepo uko unaweza kua almost at stand still ila unaposogea kuelekea equator speed yake ndo inapozid kuwa kubwaKm dunia inatembea pamoja na atmosphere yake inakuaje tunaona mawingu yanamove in different directions in different time
2. Tunasema dunia inajizungusha kwenye mhimili wake (earth's axis). Hii inamaana kunapoint fulani ya dunia ni north &south hazizunguki....swali langu ni kutaka kujua physically hizo point ziko sehemu gani kwenye uso wa dunia?
Swali rahisi sana izo point ziko north pole and south pole. kwa mfano upepo uko unaweza kua almost at stand still ila unaposogea kuelekea equator speed yake ndo inapozid kuwa kubwa
Dunia haizunguki, bali jua ndilo huzunguka ... Uthibitisho ni pale nabii Fulani aliposimamisha jua ili apigane na maadui..
UmenifikirishaDunia haizunguki, bali jua ndilo huzunguka ... Uthibitisho ni pale nabii Fulani aliposimamisha jua ili apigane na maadui..
Naenda kugoogleMkuu unakimbia msala wako unamwachia nani?
hehehe ulikuwepo kumshuhudia huyo nabii au na wewe uliambiwa ukameza?Dunia haizunguki, bali jua ndilo huzunguka ... Uthibitisho ni pale nabii Fulani aliposimamisha jua ili apigane na maadui..
Nimemeza kama nilivyomeza hii ya dunia kujizungusha kwenye mhimilihehehe ulikuwepo kumshuhudia huyo nabii au na wewe uliambiwa ukameza?