Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,938
- 10,818
habari za jumapili wadau, hasa walio soma shule ya AZABOY, nikiwa miongoni mwa walio soma, shule ninaendelea kusikitika kwa matokeo ya shule hii kongwe na ya vipaji ambayo inaelekea sasa kuitwa AZA boy vilaza, leo nina msikia mwenyekiti wa walio soma Mzumbe akiwa ABOOD REDIO, akiwasistiza wenzake wajiunge katika umoja uo ili waweze inua kiwango cha taaluma shuleni mzumbe.
Sisi Azaboy tu wapi?
tafadhali kama wewe upo tayri nipm tuanze harakati shule yetu inaelekea kubaya.
baada ya muda mfupi tutaanzisha umoja wetu!
Sisi Azaboy tu wapi?
tafadhali kama wewe upo tayri nipm tuanze harakati shule yetu inaelekea kubaya.
baada ya muda mfupi tutaanzisha umoja wetu!