Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
- Thread starter
- #21
Naikumbuka sana, ila inasikitisha sana tena sana, maana siku moja nilienda kutembelea Mzumbe nikaenda mpaka nyumbani kwa Mwl Minja, yaani yupo na mwanae, so sorry for the guy. Ila he is doing fine!Mnamkumbuka Minja? Alikuwa anakaa na mwalimu mwenzake, Bitwale, then Minja akaanza kule mdogo wa Bitwale. Mpaka mwisho ikabidi amuoe. Huyu binti sasa amefariki R.I.P. Minja alichukua binti akiwa O-level!