Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Kwa wanafunzi waliosoma Mzumbe sekondari kati ya mwaka 1995-2002 kuna misamiati maarufu iliyokuwa ikitumika kumaanisha vitu mbalimbali kama ifuatavyo:
Nyali=Wali,
Ngama=Ugali,
Mongwe=Kuishiwa pesa,
Kilei=Msichana wa .... sekondari,
Salo=Mbogamboga,
Chitumbi=jina la mwalimu,
Nyuji=Uji,
Kusifia uumbaji=Kuangalia jinsi mademu wazuri walivyoumbwa,
..................,
...................,
Nyali=Wali,
Ngama=Ugali,
Mongwe=Kuishiwa pesa,
Kilei=Msichana wa .... sekondari,
Salo=Mbogamboga,
Chitumbi=jina la mwalimu,
Nyuji=Uji,
Kusifia uumbaji=Kuangalia jinsi mademu wazuri walivyoumbwa,
..................,
...................,