Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,439
- 826
Hii leo wanafunzi wa Mzumbe Sekondari wanaandamana kuelekea bungeni Dodoma kimakundi makundi. Wana shida ambazo uongozi aw shule umeshindwa kutatua bila shaka!
Kundi moja limezuiwa na kundi kubwa la Polisi maeneo ya Kasanga hapa hapa Morogoro. Picha na habari zaidi mtaletewa wadau.
Hadi dodoma?
Kasanga au Sangasanga?
Ni matatizo gani wanapeleka Bungeni? Je, mbunge wao wameshindwa kumwambia?
usije ukashangaa siasa za majitaka zina mkono wake ndani..
Haaaa vipaji maalumu kipekee kiakili from moro to dom.
Wanaandama hadi bungeni Dodoma? au hii si Mzumbe Sec ya Moro!
Hawa nao hamnazo yaani wanandama kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa miguu kweli siku hiz demostration imekuwa kama vituko vya wema na Diamond
Mtasema CHADEMA wamewahamaishaa !
usije ukashangaa siasa za majitaka zina mkono wake ndani..
Haaaa vipaji maalumu kipekee kiakili from moro to dom.
Mkuu ndiyo hiyo. Na wote wako ndani ya uniform wanataka kuonyesha kuwa tendo la kuandamana ni sawa tu kuwa wako darasani.
Mbegu ya CHADEMA inafanya kazi. CHADEMA wametufundisha kutokuwa waoga na Watanzania walio wengi sasa wana moyo wa kihivyo. Na tutakuwa tumepiga hatu kuwa na taifa la watu majasiri wanaoweza kusema HAPATA na kuamua waonavyo wao.