Mzumbe mna shida gani ya kiufundi?

Mzumbe mna shida gani ya kiufundi?

Dr.philosophy

Senior Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
122
Reaction score
27
wakuu habar kwema Mimi nimechagiliwa mzumbe kozi ya sheria main campus lakin admission letter ni ya mzumbe campus ya mbeya kozi ya human resource nawapgia cm hawapokei nifanyeje wadau
 

Attachments

  • IMG-20181014-WA0001.jpg
    IMG-20181014-WA0001.jpg
    15.5 KB · Views: 44
  • IMG-20181014-WA0000.jpg
    IMG-20181014-WA0000.jpg
    37.4 KB · Views: 55
Usiwapigie nenda kabisa chuoni! Na vithibitisho vyote!!!
 
nashkiru kaka sema tatizo nipo kogoma huku dah ani ata sielew
sifanyi kazi mzumbe ila WEKA NO YAKO HAPA kuna mtu nitakupa namba yake mfanyakazi mzumbe nahisi tatizo lako anaweza kulitatua na mimi namba hiyo nilipewa na matechinical suporter wa mzumbe baada ya kuwa na shida iliyoonekana kuwa juu ya uwezo wao.

NB.Sijaweka namba yangu makusudi maana kuna uzi niliweka namba yangu watu walinipigia cm sana mpaka nikachoka.kwa mambo haya haya ya usajili. ila nashkr niliwasaidia kadri nilivyoweza na shida zao zikaisha.
 
sifanyi kazi mzumbe ila WEKA NO YAKO HAPA kuna mtu nitakupa namba yake mfanyakazi mzumbe nahisi tatizo lako anaweza kulitatua na mimi namba hiyo nilipewa na matechinical suporter wa mzumbe baada ya kuwa na shida iliyoonekana kuwa juu ya uwezo wao.

NB.Sijaweka namba yangu makusudi maana kun na uzi niliweka namba yangu watu walinipigia cm sana mpaka nikachoka.kwa mambo haya haya ya usajili. ila nashkr niliwasaidia kadri nilivyoweza na shida zao zikaisha.
0620390755 nisaidie mkuu
 
wakuu habar kwema Mimi nimechagiliwa mzumbe kozi ya sheria main campus lakin admission letter ni ya mzumbe campus ya mbeya kozi ya human resource nawapgia cm hawapokei nifanyeje wadau
kaka binadamu wanakosea kumbuka pia hata system sometimes zina malfunctions hakuna kitu perfetct duniani namiini wewe ni mtu mzima kaka ila angalizo mzumbe wana shule ngumu sijaona sitaki hata kupasikia ukimaliza pale wewe ni mwanaume
 
kaka binadamu wanakosea kumbuka pia hata system sometimes zina malfunctions hakuna kitu perfetct duniani namiini wewe ni mtu mzima kaka ila angalizo mzumbe wana shule ngumu sijaona sitaki hata kupasikia ukimaliza pale wewe ni mwanaume
aah hakuna mkate mgum mbele ya chai ww ntatoboa t
 
wakuu habar kwema Mimi nimechagiliwa mzumbe kozi ya sheria main campus lakin admission letter ni ya mzumbe campus ya mbeya kozi ya human resource nawapgia cm hawapokei nifanyeje wadau
nenda morogoro main campus kaulize sasa unategemea majibu yatoke humu?
 
Mpigie huyu mhadhiri 074 56 95 04 huwa ana lugha nzuri kwa wateja. Nina hakika atakusaidia chakufanya
 
Back
Top Bottom