Moses M.D. Warioba DPA (IDM), Dip. Publ. Sect. Mgt (Aston), MBIM- (London), M.Sc. Publ. Sec. Mgt (Birmingham), Ph.D. (Public Admin.) PWU, (USA)
2. Leonard .J. Shio B.A (Ed) Hons. (UDSM.), M.A. (Econ. Dev.) (UDSM), Ph.D(Management) PWU, (USA)
4. Raphael J.M. Habi ADPA (IDM), M.Sc.(Pers. Mgt) (Aston) (UK), MIPM (U.K.), Dip. T. & D. (Manchester) (UK), Ph.D(Management) PWU, (USA)
Mzumbe University - Vice-Chancellor Prof. Moses M D WariobaP O Box 1
MZUMBE, Morogoro, Tanzania
Tel: (255 23) 260 4253, 260 4381/3/4
Tel: Res. (255 23) 260 3756
Mobile: 255 744 834 344, 748 395 098
Fax: (255 23) 260 4382
E-mail: mdmhonwa@hotmail.com, idm@hotmail.com
6. Aristarch K. Kiwango B.A. (Soc. Econ Admin) Makerere, M.Sc. (Econ.) Wales, Ph.D. (Econ.) PWU, (USA) PGD. (Project Planning)ISS,The Hague, PGD. (Pop & Dev Plan) ISS, The Hague
Mzumbe University - Vice-Chancellor Prof. Moses M D Warioba
P O Box 1
MZUMBE, Morogoro, Tanzania
Tel: (255 23) 260 4253, 260 4381/3/4
Tel: Res. (255 23) 260 3756
Mobile: 255 744 834 344, 748 395 098
Fax: (255 23) 260 4382
E-mail: mdmhonwa@hotmail.com, idm@hotmail.com
Wana JF,
Ili swala la Phd feki nadhani lina maswali mengi sana.
1. Kama mtu ana Phd, au degree yeyote kwa kufoji that is ver wrong. ila
2. Kwa mfano mtu anasema ana PhD, au degree kutoka chuo ambaco hakijawa accredited na bord fulani au nchi fulani hapa kuna kassheshe kidogo.
Elimu ya Russia, canada, Japan, n.k kila watu wa nchi hizo wana standard zao. JE SISI WATANZANIA TUNAPOSEMA DEGREE FULANI IKO SHALLOW or whatever tunatumia standard gani??
kuna watu wanasoma Phd Miaka 7, kwingine miaka 4, kwingine miaka 2.5??? are they the same? arent all Drs'
someone help me, at least tungeonyesha uwezo na degree zetu nzuri, tunaosema wanavyuo visivyo na sifa ndio wengi walioendelea, hakina sie wenye vyuo vyenye sifa ndio tunaongoza kwa umaskini??
so kuwa na Phd, lazima uanze na degree ya kwanza, ya pili, ya tatu, who made these regulations, where? and why?? what if someone somewhere will decide to have their own ways??
....huna idea unaongea nini,sijui hata kama umesoma wewe maana mtu aliyesoma hawezi kuandika upuuzi ulioandika hapo juu,huna fact yeyote zaidi ya majungu na story za mtaani tuu,hizo Phd nane za western Pacific sio mali ya mzumbe na hazitolewi na Mzumbe na hata ukiangalia waliokuwa nazo sio vilaza ni graduate wa UD or respected western graduate schools kwa hiyo inawezekana nao waliingizwa kenge tuu kwenye Phds maana hata US wengi wameingizwa kenge vile vile na wengine sio walimu tena hapo,mzumbe ina zaidi ya lecturer/senior/Drs/profs zaidi ya 200 na wengi wamesoma katika vyuo ambavyo kwa wengi ni ndoto na kukusaidia angalia prospectus upate facts maana hakuna cha kuficha,na nani alikuambia Masters after advanced diploma ni inferior? na ulivyo kilaza unaleta connection ya migomo na ubora wa chuo...hilo la thesis nakuachia wewe maana ni aibu kwa wengi waliosoma vyuo vya nyumbani na mmojawapo inawezekana ni wewe kwa maelezo yako ya hapo juu
Mzumbe University - Vice-Chancellor Prof. Moses M D Warioba
P O Box 1
MZUMBE, Morogoro, Tanzania
Tel: (255 23) 260 4253, 260 4381/3/4
Tel: Res. (255 23) 260 3756
Mobile: 255 744 834 344, 748 395 098
Fax: (255 23) 260 4382
E-mail: mdmhonwa@hotmail.com, idm@hotmail.com
Mkuu Invisible, haya wakongwe tuliyaona toka mwaka gani vile?
Na tukasema, MU ni FEKI kikweli na VC wao alikuwa FEKI wakati huo..
Akaja NUNGWI ....
Nungwi upo wapi?
......Hii hadithi haijaanza leo. Nimekumbuka kuna usemi usemao.....wacha waseme mchana usiku watalala.......Mzumbe tunaongoza kwa ubora wa elimu. Asiyetaka shauri yake, ajinyonge.
na kwamba masters acquired based on advanced diplomas hazitambuliwi kitaaluma na hivi mwenye nayo hapaswi kuwa mwalimu chuo kikuu TZ. Soma tangazo la mwaka wa jana la TCU lililotangazwa na Nkunya. .