Bango linatia aibu!! Utafikiri kibao ch kwa heri mkoa wabwa dsm karibu mkoa wa pwani!! Kinapa badilisheni bwana
View attachment 194959View attachment 194960
hili bango nalo ni sheeeeda yani wanashindwa kukarabati au ndio historia?
asante sana mimi nilipanda 2008 nadhani nilikuta chakavu hilobango jipya hili hapa http://blog.eddiebauer.com/wp-content/uploads/2012/07/uhuru-peak.jpeg liliwekwa wakati wa 50th anniversary ya uhuru.
NASIKIA NALO limewekwa kwa hisani ya wale watu wetu??bango jipya hili hapa http://blog.eddiebauer.com/wp-content/uploads/2012/07/Uhuru-Peak.jpeg liliwekwa wakati wa 50th anniversary ya uhuru.