Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
heshima na salamu kwenu wote MMU kwa takribani wiki sasa tumekuwa tukiletewa mkasa mzuri na ndugu yetu MZIZIMKAVU hapa jamvini lakini nashangaa kimya mpaka sasa au ndo imeisha nisaidieni wasomaji wenzangu?!!!!!