KILIVITE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,302
- 555
Ukiona Mtu/Kiongozi/chama/timu/Kampuni haipendi changamoto za demokrasia ya kupingwa na kukosolewa mtu/chama/timu/Kampuni hiyo ina mapungufu yafuatayo;
1. Uwezo hafifu wa kuhimili basi ujue kukosolewa;
2. Uwezo hafifu waubongo katika kutafakari na kutoa majibu;
3. Uwezo hafifu wa kujenga kujiamini katika utendaji wa kazi;
4. Uwezo hafifu wa kuchapa kazi inayoonekana na kupimika na kila mtu;
5. Uwezo hafifu wa kujua upungufu na udhaifu wake na namna ya kutatua;
6. Uwezo hafifu wa kufanya jambo lililokamilika kwa asilimia mia moja;
7. Uwezo hafifu wa kufanya kazi kwa ufanisi bila makosa;
8. Uwezo hafifu wa kujibu hoja zilizopangiliwa kwa ufasaha;
9. Uwezo hafifu wa kuwa imara na umoja wa hali ya juu;
10. Uwezo hafifu wa kuondoa kero kwa watu walio karibu.
Tafakarisha ubongo wako,inua uso wako,okoa demokrasia Tanzania!!!
1. Uwezo hafifu wa kuhimili basi ujue kukosolewa;
2. Uwezo hafifu waubongo katika kutafakari na kutoa majibu;
3. Uwezo hafifu wa kujenga kujiamini katika utendaji wa kazi;
4. Uwezo hafifu wa kuchapa kazi inayoonekana na kupimika na kila mtu;
5. Uwezo hafifu wa kujua upungufu na udhaifu wake na namna ya kutatua;
6. Uwezo hafifu wa kufanya jambo lililokamilika kwa asilimia mia moja;
7. Uwezo hafifu wa kufanya kazi kwa ufanisi bila makosa;
8. Uwezo hafifu wa kujibu hoja zilizopangiliwa kwa ufasaha;
9. Uwezo hafifu wa kuwa imara na umoja wa hali ya juu;
10. Uwezo hafifu wa kuondoa kero kwa watu walio karibu.
Tafakarisha ubongo wako,inua uso wako,okoa demokrasia Tanzania!!!