LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Katika hali ambayo niya kushangaza kabisa,mzindakaya anapewa maagizo na kiongozi mmoja wa kenya amsaidie mualifu aitwae davis antony mragha ngoo ambaye alikuwa amekamtwa na uhamiaji kwa kosa la kukutwa na pass ya kusafiria ya tanzania no AB 411585 ambayo aipata kwa kudai ni mtanzania.na ana paspot nyingine ya kenya anayotumia kusafirishia madini namba no A1608769 na baado amenunua bastola anasubiri kibali .akiwa rumande mzindakaya akamtuma mwanaye wa uhamiaji kumtoa mkenya huyo.na sasa hivi yuko dodoma na mtoto huyo wa mzindakaya kwa lengo la kumkutanisha na ngeleja na nahodha.licha yakuambiwa baba yake na huyo davis mzee antony ngoo ambaye pia sio mtanzania.baba yake aliwahi kukamatwa miaka 90 alihonga makahamani akaenda nunua watu kutoka kahe wakadai ni ndugu yao sasa hivi anatembea na nakala ya hukumu anadai ndio urai wake huo .MZINDAKAYA huyo mzee ndio tuliokuwa tunamuona kidogo afadhali.nawauliza wa JF TZ nani msafi nchi hii.:tape: