Mzimu wa Zitto wazidi kuitafuna CHADEMA Kalenga

T2015CCM

JF-Expert Member
Sep 13, 2012
7,931
987
Wananchi wa Kalenga wamemuuliza mgombea ubunge jimbo la Kalenga kwa nini Kamati Kuu ya CHADEMA ilifanya maamuzi dhidi ya Zitto kinyume na Katiba ya CHADEMA.

Wananchi hao wamemwambia Mgombea huyo kuwa Zitto aliyekuwa Naibu Katibu angejadiliwa na Baraza Kuu kwani Naibu Katibu anatokana na Baraza Kuu.

Hivyo Wananchi wamesema kuwa Zitto Kabwe alionewa na pia Katiba ya CHADEMA ilikiukwa kwa Maslahi ya Mbowe eendelehe kuwa Mwenyekiti wa Kifalme wa CHADEMA.

Mgombea Ubunge huyo amewajibu na kusema suala la Zitto bado liko Mahakamani.Wananchi wa Kalenga wakaonyesha msimamo wa kutokuichagua CHADEMA mpaka wamemuone Zitto anafika Kalenga.
 
nillikuwa sijui kumbe mwepesi alishakufa ni mzimu wake bado upo
 
Toa unafiki hapa.Huna hata aibu mtu mzima badala ya kufanya kazi unahemea buku saba.

Nakushauri uuze hata mkaa utaishi tu.
 
Ccm huwa mnategemea faulo zilizokufa,hili halitasaidia.Kalenga hawatapiga kura za eti huruma kwa mtoto wa marehemu.Wamemwambia akapumzike amlilie mzee wake..ccm ni ukoo wa wakubwa na wenyewe ndo hao.
 
nitoke vipi...umeamua utoke kwa single ya zitto..pole sana hiyo single ishachuja,jipange upya kijana
 
Toa unafiki hapa.Huna hata aibu mtu mzima badala ya kufanya kazi unahemea buku saba.

Nakushauri uuze hata mkaa utaishi tu.

Misekure kama kawaida yao! Unatetea nini? Wewe mtu Tabata mambo ya Kalenga unayajuaje? Kalenga haihitaji mzinifu; yule kimada mliyemsimamisha Kalenga ataishia kufua kufua chupi Kalenga Ina wenyewe CCM!
 
Wananchi wa Kalenga wamemuuliza mgombea ubunge jimbo la Kalenga kwa nini Kamati Kuu ya Chadema ilifanya maamuzi dhidi ya Zitto kinyume na Katiba ya Chadema. Wananchi hao wamemwambia Mgombea huyo kuwa Zitto aliyekuwa Naibu Katibu angejadiliwa na Baraza Kuu kwani Naibu Katibu anatokana na Baraza Kuu.Hivyo Wananchi wamesema kuwa Zitto Kabwe alionewa na pia Katiba ya Chadema ilikiukwa kwa Maslahi ya Mbowe eendelehe kuwa Mwenyekiti wa Kifalme wa Chadema.Mgombea Ubunge huyo amewajibu na kusema suala la Zitto bado liko Mahakamani.Wananchi wa Kalenga wakaonyesha msimamo wa kutokuichagua Chadema mpaka wamemuone Zitto anafika Kalenga.

Haya maneno ni ya kutungwa na ni yako mwenyewe.
 
haya ndio yanawapeleka pabaya cdm hauwez ukajibu hoja

hoja za ki.se.nge nazo hujibiwa?????? Leteni hoja za maana tujadili!!!!"
Maendeleo ya kalenga na zitto vina uhusiano upi???? hivi wana Kalenga wanataka mtu wa kuwapigania bungeni,mtu wa kushirikiana naye kutatua kero zao au wanamtaka huyo msaliti????? propaganda nyingine za kitoto sana!" pambafuuuuu
 
Misekure kama kawaida yao! Unatetea nini? Wewe mtu Tabata mambo ya Kalenga unayajuaje? Kalenga haihitaji mzinifu; yule kimada mliyemsimamisha Kalenga ataishia kufua kufua chupi Kalenga Ina wenyewe CCM!

huna jipya,wewe ni shabiki mandazi tu!
 
aaaah, kumbe nimeingia kwenye thread ya wanasiasa, teh........teh........teh.....basi ngoja niwasalimie tu harafu nitoke.
 
Toa unafiki hapa.Huna hata aibu mtu mzima badala ya kufanya kazi unahemea buku saba.

Nakushauri uuze hata mkaa utaishi tu.

hivi kwanini mtu mwenye fikra zake huru adhalilike kwa kazi ya buku 7?
 
wananchi wa kalenga wamemuuliza mgombea ubunge jimbo la kalenga kwa nini kamati kuu ya chadema ilifanya maamuzi dhidi ya zitto kinyume na katiba ya chadema. Wananchi hao wamemwambia mgombea huyo kuwa zitto aliyekuwa naibu katibu angejadiliwa na baraza kuu kwani naibu katibu anatokana na baraza kuu.hivyo wananchi wamesema kuwa zitto kabwe alionewa na pia katiba ya chadema ilikiukwa kwa maslahi ya mbowe eendelehe kuwa mwenyekiti wa kifalme wa chadema.mgombea ubunge huyo amewajibu na kusema suala la zitto bado liko mahakamani.wananchi wa kalenga wakaonyesha msimamo wa kutokuichagua chadema mpaka wamemuone zitto anafika kalenga.
waha wa kigoma wana uchawi,si mizimu,ulimsikia zitto aliposema kuwa kaaga kwao? Halafu mtu akimchezea anamaliza biinadamu wote nyumbani kwake halafu anamalizia na panya
 
Ni heri uwe masikin kuliko ukawa mtumwa wa fikra na ufuasi wa ccm eti kwa kisingizio cha uzalendo hakika bule mwajidanga na ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom