johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Wengi wanashangaa kwanini sasa kuna sintofahamu kubwa kuhusiana na mambo ya Umeme, Petrol na Diesel
Wapendwa jipeni moyo na tuzidi kumuombea kwa Mungu wa mbinguni ndugu Yetu Doto Biteko akapewe Wepesi katika Utendaji wa majukumu yake ya kila Siku
Nawatakia Alhamis yenye baraka 😄
Wapendwa jipeni moyo na tuzidi kumuombea kwa Mungu wa mbinguni ndugu Yetu Doto Biteko akapewe Wepesi katika Utendaji wa majukumu yake ya kila Siku
Nawatakia Alhamis yenye baraka 😄