ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
All in all Mungu hadhihakiwi,apandacho mtu ndicho avunacho.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Sawa Kama na wewe ni mmoja wa wapenda shughuli za wavaa vijora.uswazi wanashindana singeli sio taarabu tena
Mwenyewe anasema mngemlipia Hilo deni analo daiwa
Ova
Mzee Yusufu piga mziki na usiwasikilize wanao kudhihaki.
Unatafuta ridhiki halali kabisa na limeridhiwa na Katiba ya Nchi.
Mungu amekupa kipaji cha Kuimba na uimbe ipate ridhiki yako.
Ongeza Ubunifu ili Uongeze Uwezo Wako
NANI kasema Muziki ni kazi HARAMU ?Riziki halali kwenye kazi haramu, huyo Mungu wenu ni yupi!!
hawezi kujibu hiiNANI kasema Muziki ni kazi HARAMU ?
Basi karipoti Polisi wamkamate maana anafanya Uharamu.
Ninachojua kuwa Muziki na kazi halali kama kazi Nyingine.
Na Nyumba za Ibada nyingi zinajengwa na Wanamuziki.
Kumbuka hata DUFU na KASWIDA ni Muziki
ni Nguruwe tu ndio haramu kwa dini ya kiisalamu, hapo muislamu bora akuue, ila mengine haina shida.Lakini nyimbo za kidunia ni haramu kwa dini ya kiislamu na hazitambuliki mbele za haki.
NANI kasema Muziki ni kazi HARAMU ?
Basi karipoti Polisi wamkamate maana anafanya Uharamu.
Ninachojua kuwa Muziki na kazi halali kama kazi Nyingine.
Na Nyumba za Ibada nyingi zinajengwa na Wanamuziki.
Kumbuka hata DUFU na KASWIDA ni Muziki
hawezi kujibu hii
Wakati mwingine hata hao wanamuziki hawajitambui.Kwani polisi ni kwa ajili ya mambo ya Mungu!
Ni wao wenyewe kila wakitaka kujitenga na mziki wa kidunia hutangaza ‘kuokoka’ na kumrudia ‘mnyaazimngu’ kwa kukiri kuwa walikuwa wakifanya mziki haramu.
Hivyo hutubu na kujiepusha ili warudi kumwimbia kaswida, ni maneno yao wenyewe wala sio mimi.... kujenga misikiti ni utakatishaji tu.
Swali ni wewe ni me au ke?bila samahani mkuu, mimi ni kendrick rama
Mufti Zubery anaishi Masaki kw hisani ya CCM wanaopora na kuua watu kila siku. Na yeye haoni tatizo kabisa.Hatakaa arudi kileleni ..na huo ndio mwisho wake...kakangeuka kiapo cha kumkataa shetani na kumrudia Mola wake..akafinywa kidogo tu akafinyika...MUNGU HAJARIBIWI
Wakati mwingine hata hao wanamuziki hawajitambui.
Kwa kuita halali haramu.
Kuimba muziki sio dhambi, dhambi ni kuimba Matusi. Baraza la Muziki Tanzania lishawafungia wanamuziki wengi tu na wengine kuwapa adhabu kwa kuimba muziki usio na maadilli.
Mzee Yusufu hajawahi kuadhibiwa wala kuonywa kwa kukiuka maadili ya Muziki.
Muziki wake ni halali hata kama yeye haelewi hivyo.
Hatakaa arudi kileleni ..na huo ndio mwisho wake...kakangeuka kiapo cha kumkataa shetani na kumrudia Mola wake..akafinywa kidogo tu akafinyika...MUNGU HAJARIBIWI